Nimebubujikwa na machozi ya Furaha baada ya kumuona Rais Samia kwa Macho Yangu

Mama kazi bure tu tunafunga kuomba tupate Raisi anajali watu sio ndugu zake na marafiki na Mungu atatusikiliza tu. Huyu Mama kaangusha watu wengi sana wazalendo kabakiza machawa tu
Umejiangusha wewe na ujinga wao na uvivu wako
 
Ina maana kua kote chawa wa bi chura hukuwahi kumuona?
 
Nimefatilia komenti zote nimegundua kuwa mwasha mbwa unaroho ngumu aise yani watu wanakupiga spana lakini wewe ukongangali .

Ndugu mwasha mbwa hongera sana hakika uchawa ni kipaji aise mimi siwezi .Kwanza iliuwe chawa promaksi lazima ujiondoe ufahamu tofauti na hivyo hauwezi.

Mwasha mbwa hongera ndugu yangu iposiku utalamba teuzi shikilia hapohapo tena usiishie kububujikwa fikia hatua ya kugaragara kabisa.


Nimwendo wa kugaragara.
 
Umemuona kwenye screenshot? Kafanya makubwa yepi, tuelezane!
 
Kwa mfumo wa nchi yetu makamunwa raisi kazi yake ni kukata utepe tu sio kuzuia maamuzi yanayofanywa na Raisi wake
Sawa,Deusi Soka,Sativa wamatekwa kipindi cha raisi yupi?Marehemu Kibao katekwa mchana kweupe akiwa kwenye basi kaenda kuuawa,Je raisi ni nani?
Huyu mleta mada nadhani yeye fani yake ni 'kububujikwa machozi' tu,angalia mada zake zote ukikosa hilo neno ujue siku hio kaamka vibaya.
 
CCM ndiyo inapenda akili kama hizi,huku wao na familia zao wakipiga madili makubwa,halafu wewe huko uliko na ndugu zako sijui hata kama mmeajiliwa au kuwezeshwa kuajiliwa zaidi ya kujitoa ufahamu na kusifiasifia tu
 
Ila unaweza fanya uchawa hadi huyo unaemfanyia anakasirika...we utakuwa unamuudhi sana mama wewe Luka
 
Safi sana! Ongeza jitihada katika mapambio kabla ya December 31 utakuwa kwenye mkeka mpya! Ila tupe ahadi kuwa hautozimia wala kupata kiwewe! Kazi unayoifanya ni kubwa sana! Ni mfano wa kuigwa na wale wote wote TEAM MAPAMBIO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…