Nimebubujikwa na machozi ya Furaha baada ya kumuona Rais Samia kwa Macho Yangu

Umejiangusha wewe na ujinga wao na uvivu wako
Nyie bakieni kushabikia ujinga wakati umasikini unaongezeka. Samia anajitajirisha na kuuwaachia nchi yenu bila katiba mpya, mikataba wa milele ya mafuta, bandari na madini. Nyie wajinga jinga mnadanganywa mtapewa vyeo kwa uchawa! mtasubiri sana. Sisi wengine tulishasoma mambo muda na tumejipanga kwasasa tunapigania nchi tu
 
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ni mzalendo wa kweli kwa Taifa letu na ambaye amejitolea na kujitoa kwa ajili ya Taifa.ndio maana wazalendo wote wa Taifa letu nikiwepo mimi Lucas Mwashambwa tupo upande wa Rais Samia mzalendo wa kweli na Jemedari hodari katika mapambano ya kupigania ustawi wa Taifa na watanzania kwa ujumla wake .
 
Acha wenye akili Timamu wajadili hoja
We mmsafwa au mmalila utakua na akili kulia hovyo kuwaona watu,
Ulishawai kulia baada ya kumuona babu yako au bibi yako huko swaya?
Acha kulialia mjinga wewe,safari yako ndefu ya mwisho ulienda mbarari kuvuna mpunga.
 
Wakuu mnaongea na mtu hata mafinga hapajui vizuri,yaani safari yake ndefu ilikua toka vwawa mpk makambako.
So msameheni tu aendelelee kulia.
 
Ungeweka na ka video tuone ulivyokuwa unabubujika😭😭😭😭
 
Ukikuwa unaona, unasikia, unasoma vituko vya ajabu kabisa kabisa 🤣 🤣 🤣 🤣 😂
Kweli kila binadamu ana ukichaa wake walahi!
 
 
Halafu jamaa nasikia machozi yako yanatokea makalioni tofauti na ya binadamu wengine yanatokea machoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…