Shule zote Dar nene tu ila Vihostel vyao ni very limited na Mara nyingi kwa Comb adimu ambazo watoto hutokea Mikoani kama CBN CBA hizo Combi zingine wengi ni Wenyeji wa hapahapa hivo wanajitafuta Wenyewe Makwao.Watu hawamwambii ukweli dogo
kaaa uelewe Dar es salaam hamna shule ya bweni ya serikali namaanisha shule zote maarufu Dar kama
- Azania
- Tambaza
- kabasila
- chang'ombe
- jangwani
- Benjamini na nyingine nyingine wadau watanisaidia
so what to do broh, una cha maana hebu nipe hali halisi ya kuishi huko?Shule zote Dar nene tu ila Vihostel vyao ni very limited na Mara nyingi kwa Comb adimu ambazo watoto hutokea Mikoani kama CBN CBA hizo Combi zingine wengi ni Wenyeji wa hapahapa hivo wanajitafuta Wenyewe Makwao.
NitajitahidiUtaweza kweli Kutunza hela hasa Pocket Money? View attachment 2654450
Makin Kaza Kijana.Nitajitahidi
Umefanya Chaguo gumu ila fika Shule utawakuta na Wengine kama wewe Mtajua mnaishije, Kikubwa ni kuandaa Hela tu ukamkabidh Mkuu upewe Hostel.so what to do broh, una cha maana hebu nipe hali halisi ya kuishi huko?
Unyama sana, sijui kwa sasa?Nilisoma hapo Azaboy advance ECA 2008-2010,tulikuwa tunakaa pale Hostel pembeni kuna watoto wa Zanaki na nyuma watoto wa Jangwani.
By that time Azaboy ilikuwa zaidi ya chuo kikuu Uhuru kama wote,hakuna Mwalimu anamfatilia mwanafunzi.
Tulikuwa tukiamka ni kwenda Maktaba ya Taifa au Ubalozi wa USA kusoma.
Kula kama una hela unaenda kula pale Muhas na wanafunzi wa chuo.
Jioni mnaenda Don bosco kucheza basketball ball au kwenda kuangalia mchezo wa golf kule Gymkan.
Asubuhi tunakimbia kuzunguka UN road,masaki na kuishia GYMkan beach pale tunaoga tuna rudi kusoma.
Usiku kuanzia SAA 4-7 tunazunguka mnazi mmoja, karikaoo na posta kuangalia Madada poa
Weekend tunaenda casinos za posta na kwenda sinza kwenye club za miziki.
Six kuondoka na Mshwaki ni kawaida kabisa hata kama ulikuja na A zote za Combination.Nina B ya fizikia, A ya chem na A ya math
sio simu tu, kila kitu. Ni kazi isiyo rasmi lakini ina hela sana ukiwa mshapuHivi winga maana yake ni nini mkuu? Nia hawa wanaotangaza simu status au?
Oooh! Yaani kazi zao ni kutangaza tu vitu online ikiwemo status za WhatsApp?sio simu tu, kila kitu. Ni kazi isiyo rasmi lakini ina hela sana ukiwa mshapu
Sawa, nitalifanyia kazi. Hizo hostels zipo karibu na shule kabisa?Hongera kiongozi kwa kuchaguliwa Aza boy, Mimi nilimaliza hapo 2018 level ya advanced PCB lakini sikupangiwa bweni kutokana na umbali mfupi wa makazi niliyokua naishi. Bweni lipo hapo Aza boy na kipaumbele kikubwa ni kwa wanafunzi wa advanced level kutoka mikoa mingine kwa hiyo usihofu kuhusu bweni kama umetoka mkoani, Pia utaambiwa ufike na godoro na vifaa vingine vinavyohitajika pia chakula kinapikwa hapo bwenini na mpishi maalumu.
Ushauri mwingine ukiwa hapo kama mwanafunzi wa advanced pendelea kupanga ratiba yako vizuri hii itakusaidia kumudu masomo yako vyema.
Kuwa making aza boy ndo shule boraKama kichwa cha uzi kinavyosema, mimi nimemaliza form four mwaka jana hivyo form five selections zimetoka na nimechaguliwa kwenda Azania sec
Hivyo najua humu kuna watu wanaishi hapo karibu au wamesomea pale naomba mnipe hali ya maisha ya pale,ufaulu wake, n.k
Natokea mikoani na itakuwa mara yangu ya kwanza kuishi dar
Combination nimechaguliwa kusoma PCM
Natanguliza shukurani
Karibuni wajibu
Funny boe
Ndio, zipo karibu kabisa na nadhani kwa Sasa watakua wameongeza jengo lingine. Kwa pembeni ya mabweni Kuna uwanja mkubwa wa cricket .Sawa, nitalifanyia kazi. Hizo hostels zipo karibu na shule kabisa?
Hilo Mimi sijui Ila wanawakubari zaidi vijana wa azaMademu wa jangwani si wanaliwa na yeyote tu bro.
Nenda kawaulize wenyewe masuala ya umbea sitaki, nimemaanisha Jangwani Sec sio Jangwani ya Jengo la Yanga kwa hio usichanganye madesa mkuuMademu wa jangwani si wanaliwa na yeyote tu bro.
Yeah sio simu TU vifaa vyote kutoka kwenye maduka ya k/Koo wanatangaza na kutafuta wateja, wananunua kwa Bei ya jumla (kutoka kwa mwenye duka) wanauza kwa reja na faida juu, mfano jeans Bei ya jumla inauzwa elfu 14 yeye ataichukua anaenda kuiuza elfu 20 mpaka 23 atapata faida kuanzia 5000/- na kuendelea kwa kila jeans atakayoiuza, km haujaelewa uliza utajibiwaHivi winga maana yake ni nini mkuu? Nia hawa wanaotangaza simu status au?
Ahsante. Na simu kwamba wananunua kwa jumla pia? Je, layman(mgeni) kwenye shughuli hizi unamshauri atafute kazi nyingine au ajikite kwenye u-winga?Yeah sio simu TU vifaa vyote kutoka kwenye maduka ya k/Koo wanatangaza na kutafuta wateja, wananunua kwa Bei ya jumla (kutoka kwa mwenye duka) wanauza kwa reja na faida juu, mfano jeans Bei ya jumla inauzwa elfu 14 yeye ataichukua anaenda kuiuza elfu 20 mpaka 23 atapata faida kuanzia 5000/- na kuendelea kwa kila jeans atakayoiuza, km haujaelewa uliza utajibiwa