Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini usije kula ada kama kama mdigi wako bandidu maana unaweza uza utu wako na kuwa James deliciousNishakaribia
yeahp! hata kufika hapo napenda kutumia vitabuWe inaonekana inapanda kichwani.
Nenda katuwakilishe.
Sema kule cheza kama pele, Physics ni S.Chand XI&XII. Achana na sijui Rogers , tumia Michael Nelkon pia.
Kuhusu vitini, usitumie achana navyo, focus na vitabu.
Nakazia, nilifanya maajabu advanced physics Kwa kusoma chandi hizo, mavitini mengine unajisumbua.We inaonekana inapanda kichwani.
Nenda katuwakilishe.
Sema kule cheza kama pele, Physics ni S.Chand XI&XII. Achana na sijui Rogers , tumia Michael Nelkon pia.
Kuhusu vitini, usitumie achana navyo, focus na vitabu.
ongea tu mkuu
Mwache aje akapange Magomeni au Aje auziwe Hostel Muhas kwa laki 6.Sipo kubishana najua nachokiongea , nimesoma moja ya shule tajwa hapo hivyo kama kanielewa atayafanyia kazi ila kama atakuwa mbishi ataenda atajiona na atakuja kukiri siku moja kwa kupitia huu huu uzi
Asante .
Wewe sasa ndiyo tunaongea ligha moja , unajua wengi wemeshindwa kumshauri dogo vizuri , wengi hawajui utofauti wa hostel na boarding , yani hapa dogo anavyosikia pale Azania pana hostel akili yake inafikiri pale Azania kupo kama kulivyo minaki au pugu kitu ambacho ni tofauti .Nilisoma hapo Azaboy advance ECA 2008-2010,tulikuwa tunakaa pale Hostel pembeni kuna watoto wa Zanaki na nyuma watoto wa Jangwani.
By that time Azaboy ilikuwa zaidi ya chuo kikuu Uhuru kama wote,hakuna Mwalimu anamfatilia mwanafunzi.
Tulikuwa tukiamka ni kwenda Maktaba ya Taifa au Ubalozi wa USA kusoma.
Kula kama una hela unaenda kula pale Muhas na wanafunzi wa chuo.
Jioni mnaenda Don bosco kucheza basketball ball au kwenda kuangalia mchezo wa golf kule Gymkan.
Asubuhi tunakimbia kuzunguka UN road,masaki na kuishia GYMkan beach pale tunaoga tuna rudi kusoma.
Usiku kuanzia SAA 4-7 tunazunguka mnazi mmoja, karikaoo na posta kuangalia Madada poa
Weekend tunaenda casinos za posta na kwenda sinza kwenye club za miziki.
Huu ndiyo uungwana. Hongera sana kaka KirangaMkuu hongera na karibu United Nations (hilo ndilo jina la barabara iliyopo shule ya Azania).
Barabara hiyo ina shule kubwa kama Jangwani Girls Secondary School ambayo inapakana na Aazania, mbele huko kuna Tambaza High School.
Shule ya Azania imekaa sehemu nzuri sana mjini, kwenda mjini kabisa Dar au Kariakoo unatebea tu, ipo karibu na hospitali ya Muhimbili.
Sina uhakika kuhusu habari za elimu kwa sasa, nimetoka mitaa hiyo siku nyingi, lakini utapata huduma zote muhimu karibu.
Utaweza kweli Kutunza hela hasa Pocket Money?Kama kichwa cha uzi kinavyosema, mimi nimemaliza form four mwaka jana hivyo form five selections zimetoka na nimechaguliwa kwenda Azania sec
Hivyo najua humu kuna watu wanaishi hapo karibu au wamesomea pale naomba mnipe hali ya maisha ya pale,ufaulu wake, n.k
Natokea mikoani na itakuwa mara yangu ya kwanza kuishi dar
Combination nimechaguliwa kusoma PCM
Natanguliza shukurani
Karibuni wajibu
Funny boe
Hivi winga maana yake ni nini mkuu? Nia hawa wanaotangaza simu status au?Hakikisha mpaka unamaliza cha sita pale kariakoo unafahamika na wenye maduka kwa kuwa winga wao, then usiunge chuo endelea na mbishe hapohapo kko, utakuja kunishukuru bdae. Chuo utasomaga hata bdae.
Watu hawamwambii ukweli dogoMwache aje akapange Magomeni au Aje auziwe Hostel Muhas kwa laki 6.
Anataka boarding Dar aende Pugu vinginevyo awe na Ubalozi Jangwani hapo.