stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Umewahi sana Mimi nilikua nasoma nje nje sikukurupuka Kujiunga humu, soon tutegemee Id mfu nyingine ndani ya Jfhahahah! Kwani imefichika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi sana Mimi nilikua nasoma nje nje sikukurupuka Kujiunga humu, soon tutegemee Id mfu nyingine ndani ya Jfhahahah! Kwani imefichika?
Unaongea na wale wenye maduka wanakupa kitengo Cha kuzitangaza kwenye social media zote simu na Bei mpya, used na refurbishedAhsante. Na simu kwamba wananunua kwa jumla pia? Je, layman(mgeni) kwenye shughuli hizi unamshauri atafute kazi nyingine au ajikite kwenye u-winga?
Hizo shule zote kwa advance ni bweni.Hongera , lakin haujasema je wewe ni mwenyeji wa hapo hapo Dar es salaam au unatokea mkoa na shule ndyo umekuleta jijini ??... Kwanini nimekuuliza
1)kama umetokea mkoa kaaa uelewe Dar es salaam hamna shule ya bweni ya serikali namaanisha shule zote maarufu Dar kama
- Azania
- Tambaza
- kabasila
- chang'ombe
- jangwani
- Benjamini na nyingine nyingine wadau watanisaidia
Siyo shule za bweni , hivyo basi kuna hostel za watu binafsi ambazo huwapangisha wanafunzi kwa gharama fulani , mfano zipo ambazo kwa mwezi ni tsh 20000 mbaka 45000
Hizi za 20000/= moja zina kunguni wengii sanaa hili lazima nisa lakini pia siyo nzuri sana kwa mwanafunzi kujisomea kumbuka kwenye hizi hostel uhuru ni wakutosha unaweza hata usikanyage darasani mwezi mzima na hamna atakae kuuliza hapo msala utakuwa kati ya wewe na walimu wa shuleni kwenu
- kwasababu Azania ni boys sina tatizo ila ingekuwa chang'ombe au kibasila kule hapa ningekushauri ukasome sanaa ufuate kilichokupeleka mimi nimeshuhudia wengi wakipoteza direction kutokana na maisha ya hostel maana huko ni kawaida kukuta jamaa na demu wake wote wanasoma darasa moja wanaishi kama mume na mke . Sasa kivumbi huja wakipigana chini hivyo mwenzangu na mimi kama na wewe ni wakuigaiga kufeli nje nje ..
Yapo mengi lakini machache ni hayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooCha kwanza kabisa, hama PCM ambako unaenda kupata three ya 15, njoo HKL ili upate one yako safi, ndipo twende sambamba.
Umecheka wakati kamwambia ukweli lab za aza ushawahi kuziona zilivyo ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnooo
Tenaa imkae akilini kabisaa.Six kuondoka na Mshwaki ni kawaida kabisa hata kama ulikuja na A zote za Combination.
Anapewa miezi 2/3 ya kufikiria kuhamia HGL baada ya hapo mlango unafungwa asubiri F za kutosha akiwa PCMTenaa imkae akilini kabisaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mate nlisoma nae primary, o leevel alisoma kata akafanikiwa kupata 1 ya 15 akaenda Azaboy PCB 4m 6 kapiga 3 ya 14, analaumu had leo.Umecheka wakati kamwambia ukweli lab za aza ushawahi kuziona zilivyo ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aka komae, km ataenda kuweka usharobaro na kufata dents wa jangwani bas ataumaliza mwendo mapemaaa.Anapewa miezi 2/3 ya kufikiria kuhamia HGL baada ya hapo mlango unafungwa asubiri F za kutosha akiwa PCM
Ogopa kusoma PCB azania Bora usome PCM Ila PCB pale shimo la kifo kwa msongo wa mawazo unaingia na 1 unatoka na 0 hio ndio azania walimu wa PCB vichomi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mate nlisoma nae primary, o leevel alisoma kata akafanikiwa kupata 1 ya 15 akaenda Azaboy PCB 4m 6 kapiga 3 ya 14, analaumu had leo.
Khaaaah!! Lakini mbna ile ni shue kongwee??
Ila kiukweli, Jangwani, azania, kisutu, zanaki, hizi shule ziko town kati mnoo, afu full vurugu na heka heka. Mwanafunzu usipokua makini unaanguka huku unajiona.Ogopa kusoma PCB azania Bora usome PCM Ila PCB pale shimo la kifo kwa msongo wa mawazo unaingia na 1 unatoka na 0 hio ndio azania walimu wa PCB vichomi,
UNA DIVISION NGAPIKama kichwa cha uzi kinavyosema, mimi nimemaliza form four mwaka jana hivyo form five selections zimetoka na nimechaguliwa kwenda Azania sec
Hivyo najua humu kuna watu wanaishi hapo karibu au wamesomea pale naomba mnipe hali ya maisha ya pale,ufaulu wake, n.k
Natokea mikoani na itakuwa mara yangu ya kwanza kuishi dar
Combination nimechaguliwa kusoma PCM
Natanguliza shukurani
Karibuni wajibu
Funny boe
Nimeanza kupata mashaka kama kuna msomaji hapa?Hawasumbui maana napenda pia 😂😂😂
huko wanatangaza, lakin pia wanakuepo madukani hapo kko kudaka wateja wanaoenda kununua bidhaa.Oooh! Yaani kazi zao ni kutangaza tu vitu online ikiwemo status za WhatsApp?