Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipo kubishana najua nachokiongea , nimesoma moja ya shule tajwa hapo hivyo kama kanielewa atayafanyia kazi ila kama atakuwa mbishi ataenda atajiona na atakuja kukiri siku moja kwa kupitia huu huu uziZote ulizotaja Zina bweni, we mshamba kweli [emoji28][emoji28][emoji28]
Kiufupi mwambie shule ipo Mjini town km posta kariakoo ni kugusa tu kwa Mguu ushafika na library ya taifa pia haipo mbali ukihitaji kwenda kujisomea Ila changamoto walimu hapo shuleni acha nizibe Domo langu, kingine kuopoa mtoto wa Jangwani km unasoma azania ni suala la kugusa tu na ndio maana zilijengwa karibu kwa malengo nyumbulifu wajuba washanielewaSina uhakika kuhusu habari za elimu kwa sasa, nimetoka mitaa hiyo siku nyingi, lakini utapata huduma zote muhimu karibu
Kama kichwa cha uzi kinavyosema, mimi nimemaliza form four mwaka jana hivyo form five selections zimetoka na nimechaguliwa kwenda Azania sec
Hivyo najua humu kuna watu wanaishi hapo karibu au wamesomea pale naomba mnipe hali ya maisha ya pale,ufaulu wake, n.k
Natokea mikoani na itakuwa mara yangu ya kwanza kuishi dar
Combination nimechaguliwa kusoma PCM
Natanguliza shukurani
Karibuni wajibu
Funny boe
Mademu wa jangwani si wanaliwa na yeyote tu bro.Kiufupi mwambie shule ipo Mjini town km posta kariakoo ni kugusa tu kwa Mguu ushafika na library ya taifa pia haipo mbali ukihitaji kwenda kujisomea Ila changamoto walimu hapo shuleni acha nizibe Domo langu, kingine kuopoa mtoto wa Jangwani km unasoma azania ni suala la kugusa tu na ndio maana zilijengwa karibu kwa malengo nyumbulifu wajuba washanielewa
naona bweni ni unyama zaidi eeh?Azania hostel zipo ila kwa enz zetu ilkua kupata lazma umpe ngozye(mkuu wa shule kipnd hicho) kiasi flan cha pesa..
Tambaza napo zipo ila kwa wasichana japo nazo kupata mlungula lzm uwepo..
Wengi wetu tulikua tunapoa sehem moja inaitwa mogadishu..
Kingne iyo shule kuna mbu cjapata kuona, tulikua tunadanganyana ni mbu wa artificial walotengenezwa na chuo cha muhas[emoji1787]
Hizo posts za form five?nini?
ongea tu mkuuKiufupi mwambie shule ipo Mjini town km posta kariakoo ni kugusa tu kwa Mguu ushafika na library ya taifa pia haipo mbali ukihitaji kwenda kujisomea Ila changamoto walimu hapo shuleni acha nizibe Domo langu, kingine kuopoa mtoto wa Jangwani km unasoma azania ni suala la kugusa tu na ndio maana zilijengwa karibu kwa malengo nyumbulifu wajuba washanielewa
UshafauluHahaha dah naona ngumu japo form 4 nimetoka na points 4
Yah kwa kombi yako hyo fosi bweni pale sema cjajua kwa sasa ila kipnd chetu raia walikua wanalala darasn tu na fresh asbh kukikucha godoro linaekwa juu ya dali na magodor yalkua mawili tuu so weng mnaishia kulala kwmy meza huku mnasomNaelewa kaka, naona bweni ni nzuri zaidi kuliko day, au??
Nina B ya fizikia, A ya chem na A ya mathKama Hesabu na Fizikia inapanda kichwani hata ukichanganya mademu haina shida, tatizo ni pale ambapo Hesabu haipandi, kama ni hivyo achana na mapenzi, soma.
Kumbuka
Hardwork beats Talent, Talent is not enough.
Hongera.
shukuraniYah kwa kombi yako hyo fosi bweni pale sema cjajua kwa sasa ila kipnd chetu raia walikua wanalala darasn tu na fresh asbh kukikucha godoro linaekwa juu ya dali na magodor yalkua mawili tuu so weng mnaishia kulala kwmy meza huku mnasom
We inaonekana inapanda kichwani.Nina B ya fizikia, A ya chem na A ya math