Nimechaguliwa kujiunga na AZANIA SECONDARY SCHOOL A-LEVEL 2023 wanaoijua mnisaidie hapa

Nimechaguliwa kujiunga na AZANIA SECONDARY SCHOOL A-LEVEL 2023 wanaoijua mnisaidie hapa

soma kwa bidii jinsi ulivyokua unasoma mwanzo zidisha mara tatu yake,usijione umefanikiwa ishi maisha yako kawaida kuwa na marafiki wanaokuzidi zaidi ikiwezekana kua na urafiki na kipanga wa mbele yako piga msuli ufaulu vizuri zaidi pia usiache ibada
 
Mkuu hongera na karibu United Nations (hilo ndilo jina la barabara iliyopo shule ya Azania).

Barabara hiyo ina shule kubwa kama Jangwani Girls Secondary School ambayo inapakana na Aazania, mbele huko kuna Tambaza High School.

Shule ya Azania imekaa sehemu nzuri sana mjini, kwenda mjini kabisa Dar au Kariakoo unatebea tu, ipo karibu na hospitali ya Muhimbili.

Sina uhakika kuhusu habari za elimu kwa sasa, nimetoka mitaa hiyo siku nyingi, lakini utapata huduma zote muhimu karibu.
Asanteh sana
 
Kama kichwa cha uzi kinavyosema, mimi nimemaliza form four mwaka jana hivyo form five selections zimetoka na nimechaguliwa kwenda Azania sec

Hivyo najua humu kuna watu wanaishi hapo karibu au wamesomea pale naomba mnipe hali ya maisha ya pale,ufaulu wake, n.k

Natokea mikoani na itakuwa mara yangu ya kwanza kuishi dar

Combination nimechaguliwa kusoma PCM

Natanguliza shukurani
Karibuni wajibu


Funny boe
Cha kwanza kabisa, hama PCM ambako unaenda kupata three ya 15, njoo HKL ili upate one yako safi, ndipo twende sambamba.
 
soma kwa bidii jinsi ulivyokua unasoma mwanzo zidisha mara tatu yake,usijione umefanikiwa ishi maisha yako kawaida kuwa na marafiki wanaokuzidi zaidi ikiwezekana kua na urafiki na kipanga wa mbele yako piga msuli ufaulu vizuri zaidi pia usiache ibada
Shukrani sana
 
Hakikisha mpaka unamaliza cha sita pale kariakoo unafahamika na wenye maduka kwa kuwa winga wao, then usiunge chuo endelea na mbishe hapohapo kko, utakuja kunishukuru bdae. Chuo utasomaga hata bdae.
 
Dah janja hongera sn kufaulu na kujiunga advance... hiyo scul nimepga apo advanv kombi ya pcb.. nenda kasome achana na pisi za jangwani na zanaki maana hao ndo madem wa watoto wa azania..
Kusoma dar kuna changamoto sn tena ukiwa day school na uwe kombi ngum kama pcb na pcm aisee.. enzi zang nasoma apo tulkua tunapaita ore university maana cmu kawaida kutumia, shule ni ya boys lkn madem kbao haswa cku za j moc forest pale kwny vimbweta palikua panapendeza sn sketi za orange.. nmewala sn watoto wa jangwan na zanaki apo kisa kusoma pcb[emoji23][emoji23]
 
PCM unaenda kupata three ya 14 au 15, kisha unarudi kutumia cheti cha kidato cha 4 kuomba kusoma Diploma pale DIT au ATC.
Umejuaje ka nitapata ufaulu huo wakati haunijui background yangu?
 
Hakikisha mpaka unamaliza cha sita pale kariakoo unafahamika na wenye maduka kwa kuwa winga wao, then usiunge chuo endelea na mbishe hapohapo kko, utakuja kunishukuru bdae. Chuo utasomaga hata bdae.
nitalifanyia kazi
 
Hongera , lakin haujasema je wewe ni mwenyeji wa hapo hapo Dar es salaam au unatokea mkoa na shule ndyo umekuleta jijini ??... Kwanini nimekuuliza

1)kama umetokea mkoa kaaa uelewe Dar es salaam hamna shule ya bweni ya serikali namaanisha shule zote maarufu Dar kama
  • Azania
  • Tambaza
  • kabasila
  • chang'ombe
  • jangwani
  • Benjamini na nyingine nyingine wadau watanisaidia

Siyo shule za bweni , hivyo basi kuna hostel za watu binafsi ambazo huwapangisha wanafunzi kwa gharama fulani , mfano zipo ambazo kwa mwezi ni tsh 20000 mbaka 45000
Hizi za 20000/= moja zina kunguni wengii sanaa hili lazima nisa lakini pia siyo nzuri sana kwa mwanafunzi kujisomea kumbuka kwenye hizi hostel uhuru ni wakutosha unaweza hata usikanyage darasani mwezi mzima na hamna atakae kuuliza hapo msala utakuwa kati ya wewe na walimu wa shuleni kwenu

- kwasababu Azania ni boys sina tatizo ila ingekuwa chang'ombe au kibasila kule hapa ningekushauri ukasome sanaa ufuate kilichokupeleka mimi nimeshuhudia wengi wakipoteza direction kutokana na maisha ya hostel maana huko ni kawaida kukuta jamaa na demu wake wote wanasoma darasa moja wanaishi kama mume na mke . Sasa kivumbi huja wakipigana chini hivyo mwenzangu na mimi kama na wewe ni wakuigaiga kufeli nje nje ..

Yapo mengi lakini machache ni hayo
Zote ulizotaja Zina bweni, we mshamba kweli [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hongera , lakin haujasema je wewe ni mwenyeji wa hapo hapo Dar es salaam au unatokea mkoa na shule ndyo umekuleta jijini ??... Kwanini nimekuuliza

1)kama umetokea mkoa kaaa uelewe Dar es salaam hamna shule ya bweni ya serikali namaanisha shule zote maarufu Dar kama
  • Azania
  • Tambaza
  • kabasila
  • chang'ombe
  • jangwani
  • Benjamini na nyingine nyingine wadau watanisaidia

Siyo shule za bweni , hivyo basi kuna hostel za watu binafsi ambazo huwapangisha wanafunzi kwa gharama fulani , mfano zipo ambazo kwa mwezi ni tsh 20000 mbaka 45000
Hizi za 20000/= moja zina kunguni wengii sanaa hili lazima nisa lakini pia siyo nzuri sana kwa mwanafunzi kujisomea kumbuka kwenye hizi hostel uhuru ni wakutosha unaweza hata usikanyage darasani mwezi mzima na hamna atakae kuuliza hapo msala utakuwa kati ya wewe na walimu wa shuleni kwenu

- kwasababu Azania ni boys sina tatizo ila ingekuwa chang'ombe au kibasila kule hapa ningekushauri ukasome sanaa ufuate kilichokupeleka mimi nimeshuhudia wengi wakipoteza direction kutokana na maisha ya hostel maana huko ni kawaida kukuta jamaa na demu wake wote wanasoma darasa moja wanaishi kama mume na mke . Sasa kivumbi huja wakipigana chini hivyo mwenzangu na mimi kama na wewe ni wakuigaiga kufeli nje nje ..

Yapo mengi lakini machache ni hayo
Azania hostel zipo ila kwa enz zetu ilkua kupata lazma umpe ngozye(mkuu wa shule kipnd hicho) kiasi flan cha pesa..
Tambaza napo zipo ila kwa wasichana japo nazo kupata mlungula lzm uwepo..

Wengi wetu tulikua tunapoa sehem moja inaitwa mogadishu..

Kingne iyo shule kuna mbu cjapata kuona, tulikua tunadanganyana ni mbu wa artificial walotengenezwa na chuo cha muhas[emoji1787]
 
Back
Top Bottom