Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipo mkuu na linatafuna posho kila kikao, wanaendelea kujadili bajeti na siku chache zijazo wanaenda kuamua mustakabali wa watanzania kwa mwaka mzima wa fedha.Kwanza bunge lenyewe lipo? naona wananchi wamelisusia. Hakuna hata mwenye habari
😬😬😬 Kwa hali hii Mama anastahili kabisa pongezi. Hakika Royo Tua imezaa matunda! Mwenye wivu ajinyonge.
Daah Basi sawa.Lipo mkuu na linatafuna posho kila kikao, wanaendelea kujadili bajeti na siku chache zijazo wanaenda kuamua mustakabali wa watanzania kwa mwaka mzima wa fedha..
Wataimba nyimbo zote na mieleka watacheza
Kweli kuna watu wana moyo😅😅Kwanza nikupe hongera mleta uzi kwa kuwa na moyo wa kutazama hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura.
Na wewe ukaamua kujitoa fahamu ukapoteza muda kuangalia bunge hewa😅😅Humu kuna watu sema wameamua kujitoa ufahamu
Haya majitu ni majinga sn
Bunge la kupongezaMagufuli alituweza kweli kweli Watanzania kutuachia hao vilaza mjengoni
Bora angeangalia hata marudio ya mpiraNa wewe ukaamua kujitoa fahamu ukapoteza muda kuangalia bunge hewa😅😅
Wanaiga kwa Wenyeviti wao 😆😆
Leo nikawa nasikiliza Bunge, kwanza wakavuruga ratiba na kuweka session ya kumpongeza Rais Samia kupata tuzo kila mmoja akawa anampamba anavyoweza, kama ungekuwa humjui wanaemsifu haki ungejua malaika ameshuka. Mjadala wa kutumia kodi zetu kufanya hivyo niache kila mtu auamue moyoni anavyopenda..
Akaja huyu mama maendeleo sasa kuupamba umaarufu wa 'Royal Tour'
"Lakini mheshimiwa spika, umaarufu wa royal tour, kwa wale ambao wanaangalia tamthilia ya 'Revenge' kwenye king'amuzi cha azam, jana Melan alimwambia mchumba wake, nikufanyie nini au nikupeleke Tanzania'. Kwa maana hiyo inaonesha jinsi ambavyo royal tour imezaa matunda."
Mimi sio mfatiliaji wa hizi tamthilia lakini siku niliyowakuta wanangu, ilinichukua dakika kung'amua wale wanaotafsiri wanazi- localize ili ziendane na mazingira ya Tanzania, tamthilia inataja hadi Manzese, mbunge anaamua kuitumia kufanyia reference bungeni kumpongeza Rais!
Jaffo nae akasema hadhani kama mama analala kwa jinsi anavyofanya kazi🤣🤣
Basi 'session' ikaisha kwa Bunge lote kusema 'ndiooo' kuafiki hoja ya azimio la Bunge kumpongeza Rais Samia kuwa miongoni mwa viongozi wenye ushawashi Duniani kupewa tuzo
Nikikumbuka 'PAYE' yangu inawezesha haya, nachoka kabisa!
=======
View attachment 2239164