Mimi sikumbuki mara ya mwisho ni lini. Kuliangalia bunge ni kupoteza muda wako. Kila aamkae siku hizi nasikia ni kusifia mwanzo mwisho. Zamani ilikuwa kuuponda upinzani.Mara yangu ya mwisho kutazama au kusikiliza Bunge ni mwaka 2015
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sikumbuki mara ya mwisho ni lini. Kuliangalia bunge ni kupoteza muda wako. Kila aamkae siku hizi nasikia ni kusifia mwanzo mwisho. Zamani ilikuwa kuuponda upinzani.Mara yangu ya mwisho kutazama au kusikiliza Bunge ni mwaka 2015
Rangi au Kangi?Wote Tisa kumi bwana ni bwana Rangi enzi za ninja na uninja
Usipumbazwe na ndevu au suruali, the difference is the same.Kitchen Party huwa kuna jinsia moja, humu nimeona mbili..
Siyo Royo Tua ni Roho Tua.[emoji51][emoji51][emoji51] Kwa hali hii Mama anastahili kabisa pongezi. Hakika Royo Tua imezaa matunda! Mwenye wivu ajinyonge.
Ni wengi nafasi ni chache, speed ya teua tumbua iongezwe.
Mbona rangi zinafanana🤔
Hiyo tuzo si kachukua kwa niaba yake?Afadhali huyu kapata tuzo za kimataifa mapemaaaaa!! jiwe sasa, ndo utalia bureeee!.............Mama yuko safi .........lkn hiyo mijibunge miiingi ni ile ndiyo bwana aloiacha Magu!....km huyo naniiii......Jafo....sasa lazima wafanye ivo lkn chaguzi zijazo zinatisha! usilie....
Kabisa naafiki hoja...View attachment 2239099
Kuanzia sasa tunaomba mood tukiwa tunawasema hawa wabunge tunaweka majina yao