Nimecheka sana, kumbe wabunge ni weupe hivi!

Si mlitaka Bunge live, pokeeni hizo komedi kwa udhamini wa Kodi za wananchi
 
Usisahau kuwa wanalipwa mamilioni na mafao yao wanachukua bila kujali umri wala kikokotoo!

Kuhusu weupe wao... Asilimia kubwa wakikaa kimya wanaonekana kama zimo!

NB: Jaribu kuwazuia watoto wako kuangalia vitu vya ajabu. Utanishukuru siku za usoni!
 
Ukiwa mwanasiasa akili unaweka matakoni, wapo wachache Sana wanaojielewa Sana lakini hawapewi madaraka, wakisema ukweli wanaambiwa wasaliti. Ndiyo bunge limebaki la hawa vilaza.
 
Ila ubunge ungekua unagombaniwa na watu wenye level fulani ya elimu.
Hii ya kuchanganya wote humo humo, weledi unapungua sana.
Mmoja akifanya ujinga basi wote wanaiga.
Wabunge wengi wana uwezo wa kuongea tu ila elimu zao ni za wasiwasi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…