KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
🤣🤣🤣unique flower wameshakuloga wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣unique flower wameshakuloga wewe
NakaziaDepression is real jamani
Sasa. Malaya usaidiwe nini tena pumbavu endelea kuokoteza maradhi hukoNinayo kweli sio uongo sijui umejuaje nisaidie basi nitokwe na depression Kwa sababu na babe 1 na babe 2 na huyo mlevi ambaye alinivutia tu Sasa nisaidie ili niweze kuwa na mmoja
Hivi huwa una akili timamu kweli?Kwa hiyo wewe kila kitu kikutokeacho maishani ni lazima ukiandikie waraka JF?Ukizeeka utakuwa kiajuza kijinga sana.🤔🤔🤔🤔Mimi kiukweli na mahusiano ya watu wawili yaani na wachumba wawili ila nilivutiwa na bwana mmoja hivi basi tukaanza text za hapa na pale . Sikujua kama ameoa . Hadi hiyo siku mke wake alivyonipigia sim
Sasa kunasiku mke wake akaona zile text zangu Kwa bwana Ake akanipigia nakuniuliza mie nani na nilikuwa na babe wangu so kumjibu mie nani hapana aisee niliona nitaachika , Sasa nikajibu wewe nani na sikujui .
Wewe babe akasema who is this ??
Nikasema wrong number huyo dada akapiga simu nikakata hiyo siku niliziriwa hadi Sasa.
Ila huyo mwanaume ambaye mke wake anajishaua hajaacha kupiga anapiga tu kama tuliwahi kulana na huku Wala aisee . Kero .
Ila Jana nikaona nimwombe hela ya mgonjwa tuone hayo mapenzi ya kuandikiwa I LOVE U yakoje alikataa na Leo asubuhi nikamwambia jamani achana namimi Kaa nayule umpendaye na unayemsikilizia shida zake kicheko ndio Hiki katoa picha kweli ya mkewe aisee ni wakawaida sana aisee wale wakijijini Tena mwembamba kama Nini . Hata shepu zero kweli nimwembamba kabaya?? Mifupa haswa ndio maana bwana Ake ni mlevi na anastres pia analala na walevi wenzake ..
Ila alinikera sana Kwa sababu Jana mvua ilikuwa inanyesha na nimtu alikuwa wakaribu katika maongezi ila alinidis , ila uzuri nilimwomba mtu tu akanitumia nikampa , mgonjwa dawa zake , ila kukweli nimekoma kupapatikia visivyopapatika , manaa maisha nikuridhika na ulichonacho sijakosa chochote maisha ni Raha sana pale mwanaume anakupa utakacho,...
Ila wanadamu haturidhiki ila ngoja niridhike Sasa mwanaume niliyenaye Hana shida yoyote ila nitamaa tu za uzee mana ujana nimepita .. kazi ujinga tu
Kwa hiyo na wewe ni mlevi kulała na jamaa?Mimi kiukweli na mahusiano ya watu wawili yaani na wachumba wawili ila nilivutiwa na bwana mmoja hivi basi tukaanza text za hapa na pale . Sikujua kama ameoa . Hadi hiyo siku mke wake alivyonipigia sim
Sasa kunasiku mke wake akaona zile text zangu Kwa bwana Ake akanipigia nakuniuliza mie nani na nilikuwa na babe wangu so kumjibu mie nani hapana aisee niliona nitaachika , Sasa nikajibu wewe nani na sikujui .
Wewe babe akasema who is this ??
Nikasema wrong number huyo dada akapiga simu nikakata hiyo siku niliziriwa hadi Sasa.
Ila huyo mwanaume ambaye mke wake anajishaua hajaacha kupiga anapiga tu kama tuliwahi kulana na huku Wala aisee . Kero .
Ila Jana nikaona nimwombe hela ya mgonjwa tuone hayo mapenzi ya kuandikiwa I LOVE U yakoje alikataa na Leo asubuhi nikamwambia jamani achana namimi Kaa nayule umpendaye na unayemsikilizia shida zake kicheko ndio Hiki katoa picha kweli ya mkewe aisee ni wakawaida sana aisee wale wakijijini Tena mwembamba kama Nini . Hata shepu zero kweli nimwembamba kabaya?? Mifupa haswa ndio maana bwana Ake ni mlevi na anastres pia analala na walevi wenzake ..
Ila alinikera sana Kwa sababu Jana mvua ilikuwa inanyesha na nimtu alikuwa wakaribu katika maongezi ila alinidis , ila uzuri nilimwomba mtu tu akanitumia nikampa , mgonjwa dawa zake , ila kukweli nimekoma kupapatikia visivyopapatika , manaa maisha nikuridhika na ulichonacho sijakosa chochote maisha ni Raha sana pale mwanaume anakupa utakacho,...
Ila wanadamu haturidhiki ila ngoja niridhike Sasa mwanaume niliyenaye Hana shida yoyote ila nitamaa tu za uzee mana ujana nimepita .. kazi ujinga tu
Kajala mwingine huyuHivi huwa una akili timamu kweli?Kwa hiyo wewe kila kitu kikutokeacho maishani ni lazima ukiandikie waraka JF?Ukizeeka utakuwa kiajuza kijinga sana.🤔🤔🤔🤔
Halafu,awe na adabu na walevi.Ulevi ni kazi nzito yenye kuhitaji kipato/mahela.Kama anadhani ni rahisi au gharama nafuu ajaribu na yeye.😂😂😂Kwa hiyo na wewe ni mlevi kulała na jamaa?
Yes I have mahusiano ya babe 1 na babe 2 yaani na wanaume wawili mmoja wazamani na huyu mwingine ni WA majuzi tu ila Kuna huyu wajuzi alinivutia tu tukaanza mahusiano so Nini hujaelewa
Mimi napenda wanawake kama nyinyi wenye heka heka mara umefumaniwa mara umetukanwa basi full vibe. Hongera kwa kutumia vizuri kiungo chako cha uzazi.Mimi kiukweli na mahusiano ya watu wawili yaani na wachumba wawili ila nilivutiwa na bwana mmoja hivi basi tukaanza text za hapa na pale . Sikujua kama ameoa . Hadi hiyo siku mke wake alivyonipigia sim
Sasa kunasiku mke wake akaona zile text zangu Kwa bwana Ake akanipigia nakuniuliza mie nani na nilikuwa na babe wangu so kumjibu mie nani hapana aisee niliona nitaachika , Sasa nikajibu wewe nani na sikujui .
Wewe babe akasema who is this ??
Nikasema wrong number huyo dada akapiga simu nikakata hiyo siku niliziriwa hadi Sasa.
Ila huyo mwanaume ambaye mke wake anajishaua hajaacha kupiga anapiga tu kama tuliwahi kulana na huku Wala aisee . Kero .
Ila Jana nikaona nimwombe hela ya mgonjwa tuone hayo mapenzi ya kuandikiwa I LOVE U yakoje alikataa na Leo asubuhi nikamwambia jamani achana namimi Kaa nayule umpendaye na unayemsikilizia shida zake kicheko ndio Hiki katoa picha kweli ya mkewe aisee ni wakawaida sana aisee wale wakijijini Tena mwembamba kama Nini . Hata shepu zero kweli nimwembamba kabaya?? Mifupa haswa ndio maana bwana Ake ni mlevi na anastres pia analala na walevi wenzake ..
Ila alinikera sana Kwa sababu Jana mvua ilikuwa inanyesha na nimtu alikuwa wakaribu katika maongezi ila alinidis , ila uzuri nilimwomba mtu tu akanitumia nikampa , mgonjwa dawa zake , ila kukweli nimekoma kupapatikia visivyopapatika , manaa maisha nikuridhika na ulichonacho sijakosa chochote maisha ni Raha sana pale mwanaume anakupa utakacho,...
Ila wanadamu haturidhiki ila ngoja niridhike Sasa mwanaume niliyenaye Hana shida yoyote ila nitamaa tu za uzee mana ujana nimepita .. kazi ujinga tu
Huyu ni mwanaume, hakuna mwanamke ataandika hivi daily🤣🤣🤣🤣 Yaani depression ni mbaya sana. Yule Chotara wa Kijerumani yuko wapi ? Aisee nakushauri utafute mtaalamu wa Saikolojia akusaidie upate utulivu wa akili unakoelekea ni kubaya. Hata kama ni Uhuru wa kujieleza huu wa kwako umekuwa sio Uhuru bali ni utumwa
Nikikwambia wewe ni kahaba uliyekubuhu unasema nakutusiMimi kiukweli na mahusiano ya watu wawili yaani na wachumba wawili ila nilivutiwa na bwana mmoja hivi basi tukaanza text za hapa na pale . Sikujua kama ameoa . Hadi hiyo siku mke wake alivyonipigia sim
Sasa kunasiku mke wake akaona zile text zangu Kwa bwana Ake akanipigia nakuniuliza mie nani na nilikuwa na babe wangu so kumjibu mie nani hapana aisee niliona nitaachika , Sasa nikajibu wewe nani na sikujui .
Wewe babe akasema who is this ??
Nikasema wrong number huyo dada akapiga simu nikakata hiyo siku niliziriwa hadi Sasa.
Ila huyo mwanaume ambaye mke wake anajishaua hajaacha kupiga anapiga tu kama tuliwahi kulana na huku Wala aisee . Kero .
Ila Jana nikaona nimwombe hela ya mgonjwa tuone hayo mapenzi ya kuandikiwa I LOVE U yakoje alikataa na Leo asubuhi nikamwambia jamani achana namimi Kaa nayule umpendaye na unayemsikilizia shida zake kicheko ndio Hiki katoa picha kweli ya mkewe aisee ni wakawaida sana aisee wale wakijijini Tena mwembamba kama Nini . Hata shepu zero kweli nimwembamba kabaya?? Mifupa haswa ndio maana bwana Ake ni mlevi na anastres pia analala na walevi wenzake ..
Ila alinikera sana Kwa sababu Jana mvua ilikuwa inanyesha na nimtu alikuwa wakaribu katika maongezi ila alinidis , ila uzuri nilimwomba mtu tu akanitumia nikampa , mgonjwa dawa zake , ila kukweli nimekoma kupapatikia visivyopapatika , manaa maisha nikuridhika na ulichonacho sijakosa chochote maisha ni Raha sana pale mwanaume anakupa utakacho,...
Ila wanadamu haturidhiki ila ngoja niridhike Sasa mwanaume niliyenaye Hana shida yoyote ila nitamaa tu za uzee mana ujana nimepita .. kazi ujinga tu
Yeah wanakuaga na Raha Fulani hiviMimi napenda wanawake kama nyinyi wenye heka heka mara umefumaniwa mara umetukanwa basi full vibe. Hongera kwa kutumia vizuri kiungo chako cha uzazi.
Its a behaviour huezi achaNinayo kweli sio uongo sijui umejuaje nisaidie basi nitokwe na depression Kwa sababu na babe 1 na babe 2 na huyo mlevi ambaye alinivutia tu Sasa nisaidie ili niweze kuwa na mmoja
Kuna mmoja nilikutananaye ujanani full heka heka. Na akija kwangu anazima simu, anavuta bangi yake vizuuri alafu inapigwa game ya hatari. Viungo vya uzazi vinavumilia mambo mengiYeah wanakuaga na Raha Fulani hivi