Nimecheka sana Leo kama ni mazuri

Umeelewa ulichokiandika kweli? Anyway Mimi naona jamaa kafanya vizuri kukunyima pesa, naishia hapa
 
Huyu sister ni kweli ana shida na yupo "frastruated" pia anajiachia na kujiropokea mambo yake ukimfuata huko inbox. Inaonekana umri umemuenda mdada wa kaskazini na anatafuta kwa nguvu sehemu ya kujishikiza kimaisha.
Haukua na haja ya kutuambia ulichokutana nacho huko inbox
 
Alikuwa muarabu koko wa Kahama yule. Amerudi kwao kuvuna pamba baada ya kula mzigo.πŸ˜‚
 

Neuradevelopmental Disorder is Real [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]Please seek a nearby Healthy support social system [emoji120]​

[emoji23][emoji23]mnatucheka wanaume kumbe na nyie mna vibonde....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…