Nimecheka sana Leo kama ni mazuri

Yan nilivyomaliza Kupitia hako kaumbea kako kama vile anakufahamu Yan kama nakuona vile[emoji3][emoji3]jioni napita hapo kwako loveuuuu
 
Umeelewa ulichokiandika kweli? Anyway Mimi naona jamaa kafanya vizuri kukunyima pesa, naishia hapa
Kwani siye maskini au uliona tunadhiki hata mie siishi kwa hela za mchumba au hela za wanaume tunaishi Kwa jasho letu bibie unadhani akininyima pesa ndio mgonjwa atazima walahi sijui nikupe muamala wa pesa ulioko kwenye simu .

Kama wewe ni mwanaume au mwanamke mwenye utu huwezi kataa kumsaidia mgonjwa eti unakubali asisaidiwe nyie ndio watu mnaroho mbaya sana na mnaroho za kwanini nyie ndio wale watu mnawakataza wenzi wenu wasisaidie watu .

Na mkifulia mnaanza rudi Kwa magoti eti tumekosa tumekosa sana
 
Ninayo kweli sio uongo sijui umejuaje nisaidie basi nitokwe na depression Kwa sababu na babe 1 na babe 2 na huyo mlevi ambaye alinivutia tu Sasa nisaidie ili niweze kuwa na mmoja
harakaharaka ni kama hujafika 30 na huelewi inakuwaje? na kama umefia bc haizidi 32.
tulia kwanza unaweza kufanya maamuzi mazuri kuliko hii hali ninayoiona hapo
 
Usiseme wachumba sema mahawara. Uchumba??
 
Yes I have mahusiano ya babe 1 na babe 2 yaani na wanaume wawili mmoja wazamani na huyu mwingine ni WA majuzi tu ila Kuna huyu wajuzi alinivutia tu tukaanza mahusiano so Nini hujaelewa
Anajifanya mgumu kichwa🤣🤣🤣
 
Kwanini unatembea na mlevi?
 
Ninayo kweli sio uongo sijui umejuaje nisaidie basi nitokwe na depression Kwa sababu na babe 1 na babe 2 na huyo mlevi ambaye alinivutia tu Sasa nisaidie ili niweze kuwa na mmoja
Walevi hatuko hivyo bana . Anyway nikikwambia njoo kwangu hutaki ona sasa unakutana na waongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…