Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi huwa kwenye Kondoo.Kwenye kichwa cha mbuzi au cha kondoo ?
Mbuzi na kondoo wanachangia 'PESTS' na MAGONJWA mengi!Kwenye kichwa cha mbuzi au cha kondoo ?
Niliiposti kwanza kule!Msameheni 😂
Niliiposti kwanza fb!Mwenzio alitaka aonekane amechinja mbuzi sikukuu haijampita hivi hivi
Ushamwaribia mwenzio pozi
nawe mpana😅
Haina shida yoyote huwa inaleta ugonjwa wa kizungu zungu kwa Mbuzi kwa kondoo haina shida kabisa anaishi navyo tu.Chemsha Nyama iive Vizuri sana. Na Usichome nyama!
Ni kawaida wala haina shida yoyoteThis dude!
View attachment 2854735
dah kweli we crocodile! Sa kwenye ubongo wa mbuzi ulikua unatafuta nini mkuu,stake stake hukuziona mkuuThis dude!
View attachment 2854735
ukisikia ubongo kuwa na funza ndio hii sasa.This dude!
View attachment 2854735
This dude!
View attachment 2854735
Hii picha mbona ya Facebook??This dude!
View attachment 2854735
Binadam wala najisi wanayo minyoo ya ubongo zaidi ya hiyo.This dude!
View attachment 2854735
Mbuzi anaowaduduhao wanapatikana kwenyekichwa chakondoo mbuzi hana usengehuo
Mbona vinaonekana vimeshabanikwa tayari kwa mloThis dude!
View attachment 2854735