Nimechinja mbuzi nimekutana na hiki kwenye ubongo, je binadamu tunayo?

Wewe jamaa ni muongo sana. Mbuzi hujachinja bali details za picha zinaonesha umeichukua Facebook hii picha. Huyo mbuzi umemchinjaje sasa?πŸ™„ Hivi mnaleta habari za kuokoteza kuwatisha watu au kuanzisha Uzi tu nanyi muonekane? Hata kama utabaki mchangiaji bila kuanzisha Uzi genuinely utatambulika tu hapa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…