Nimechoka kudanganywa na vijana natafuta jibaba

Labda nikuulize swali,kama vijana umewachoka wanakudanganya,je hilo jibaba unalolisema ndio halitokudanganya,maana jibaba hilo lina mke wake nyumbani,na wewe atakutumia tu,mwisho wa siku haendi na wewe popote.si bora vijana anaweza akabadili mawazo na kuoa.Kwa hilo jibaba labda ukubali uke wenza.
 
duuuuuu dada anu wazeee sio dili kwani ujana wake amekula na nani? tafuta kijana mwenzako. usogope fungukaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
sasab hivi nina miaka 29 nikifika 40 nitaku pm ili tumalizane
 
Nakadori uhohi nikuvonye mntu eho serious?

Keba umshauri aende vijana uo mbaha enemwishadu bado vabwange veho enepata eye ethikamwishe.miracho avoinsha eenda eye enapetha mkivateenda iki eneshiga kuishwa?
 
Njoo kwangu, i'm serious japo unanizidi ivo ivo
 
Daa mie naye huku naumia natafuta mke yani mi taharukii.Nimetendwa mpaka najiona sina thamani
 
Dah ila bs t nilikuwa sikusoma vigezo vzr, mimi napenda mazoezi ya viungo ila kuhusu mamno ya elimu sijui dini huko ndiko kumenifelisha although wallet imetuna
 
Mbinguni utapaskia tu..

Umeamua kufukua kaburi la yule aliyeleta uzi wa kusema yeye anagegedwa na mjomba wake.
Sa' mjuba si aneleweka kilio chake ni true love, so vijana wenye true love tupo na ndo mnasemaga tupo wachache, sema kunabaadhi y vigezo vimenipiga push
 

Hivi bado unatafuta au tayari ?? Maana mimi ninatimiza miaka 40 wiki ijayo. Tuchekiane Mkuu nataka Mtu wa kufarijiana
 
Awe na degree, awe amewekeza, awe na 40--50, awe anayfanya mazoez, nk
Hatuna Nia mbaya na wewe dada ila unaonekana upo kimaslah sio mapenz wala mwenza,

Ndio maana hata Hao vijana wame ISHIA kukucha kwakuwa wewe mapenzi kwako sio kipaumbele Bali ni pesa,mali, na starehe kwa mtazamo huu wanawake mna kwama Sana hata kama una uzuri kiasi gani wanaume hawako tayari kuwa na mtu WA dizain yako kimaisha ila kingono na starehe utawapaata wengi Sana
 
duh kwa ss ana miaka 37 anapona kwa mjomba wacha kazi iendele
tunaomba mrejesho wa vibaba kwakua vijana ndio tunaelekea kua vibaba
 
Unataka jibaba? Au hata kibaba?..
 
Kaburi hili [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
mjomba anatibua nyama tu nje, ndani, nje, ndani, nje ndani, repeat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…