Nimechoka kudanganywa na vijana natafuta jibaba

Nimechoka kudanganywa na vijana natafuta jibaba

Nimeamini wewe ni much-know, tufanye umeshinda! umefurahi eeeh?

Kubali tu umeshindwa kujibu hoja kwa hoja manake Bw. EMT kazipanga na kuzipangua hoja zako kama matofali. Sijaona ujuaji wowote toka kwake. Pole.
 
Kubali tu umeshindwa kujibu hoja kwa hoja manake Bw. EMT kazipanga na kuzipangua hoja zako kama matofali. Sijaona ujuaji wowote toka kwake. Pole.

NN please, niachie huyu mtu, wewe sitakuweza jamani. huyu mwenyewe naona anarudia pale pale tu (anazunguka), sijaona jipya kutoka kwa EMT sijui ATM sana sana ananipotezea tu muda wa kujibu PM, si unajua tena muda huu maombi ndio yanatumwa baada ya uzi kusomeka..... niko busy sana nainterview watu may be akitaka ubishani labda anitafute next weekend
 
NN please, niachie huyu mtu, wewe sitakuweza jamani. huyu mwenyewe naona anarudia pale pale tu (anazunguka), sijaona jipya kutoka kwa EMT sijui ATM sana sana ananipotezea tu muda wa kujibu PM, si unajua tena muda huu maombi ndio yanatumwa baada ya uzi kusomeka..... niko busy sana nainterview watu may be akitaka ubishani labda anitafute next weekend

No problemo!
 
Nimeamini wewe ni much-know, tufanye umeshinda! umefurahi eeeh?

The fact kwamba hukubaliani na nilichoandika, does not mean that I know too much. Sina haja kufurahi simply because umeniambia nimeshinda. The season is sipo hapa kwa ajili ya mashindano. I am always a happy person anyway. But naamini kwenye post yangu ya mwanzo nilikuwa natoa tuu constructive criticisms kama tunavyotoa kwenye threads nyingine za kutafuta wachumba kama bidhaa vile. Ndio maana AshaDii aliamua kuanzisha hiyo thread niliyokupa link hapo juu.
 
The fact kwamba hukubaliani na nilichoandika, does not mean that I know too much. Sina haja kufurahi simply because umeniambia nimeshinda. The season is sipo hapa kwa ajili ya mashindano. I am always a happy person anyway. But naamini kwenye post yangu ya mwanzo nilikuwa natoa tuu constructive criticisms kama tunavyotoa kwenye threads nyingine za kutafuta wachumba kama bidhaa vile. Ndio maana AshaDii aliamua kuanzisha hiyo thread niliyokupa link hapo juu.

Unanichefua tena ngoja nirudi, kwani Ashadii ndio kipimo cha perfection humu JF? kila mtu ana kipimo cha kujudge na kuperceive relity, hatuna singular triuth babu. Pia tambua hiyo ndio style yangu ya kupost atakayeona anahitaji ata PM then nimeandaa desa lenye picha, na maelezo kuhusu mimi ambalo ninamforwadia tu atasoma!! kaka hebu nyamaza huna hoja una viroja
 
  • Thanks
Reactions: EMT
The fact kwamba hukubaliani na nilichoandika, does not mean that I know too much. Sina haja kufurahi simply because umeniambia nimeshinda. The season is sipo hapa kwa ajili ya mashindano. I am always a happy person anyway. But naamini kwenye post yangu ya mwanzo nilikuwa natoa tuu constructive criticisms kama tunavyotoa kwenye threads nyingine za kutafuta wachumba kama bidhaa vile. Ndio maana AshaDii aliamua kuanzisha hiyo thread niliyokupa link hapo juu.

Basi, basi, baaaasi mkuu utamkimbiza huyu! Badala ya m'baba utamfanya akatafute m'babu sasag teh teh teh. Jf 4 real
 
  • Thanks
Reactions: EMT
NN please, niachie huyu mtu, wewe sitakuweza jamani. huyu mwenyewe naona anarudia pale pale tu (anazunguka), sijaona jipya kutoka kwa EMT sijui ATM sana sana ananipotezea tu muda wa kujibu PM, si unajua tena muda huu maombi ndio yanatumwa baada ya uzi kusomeka..... niko busy sana nainterview watu may be akitaka ubishani labda anitafute next weekend

Hata ukijaribu kunibadilisha na kuniita ATM, bado nitaendelea kuwa EMT. Lakini kwa post hii tuu you have given out a gist why you're in such situation. Sipo hapa kukupa jipya, na sipo hapa kukupotezea muda wako. Wala sipo hapa kubishana na wewe. I don't even need you for next weekend. What for? But I will treat your thread just like other threads. Unless, you provide me with a reason, I still don't see why I should treat your thread differently.
 
Unanichefua tena ngoja nirudi, kwani Ashadii ndio kipimo cha perfection humu JF? kila mtu ana kipimo cha kujudge na kuperceive relity, hatuna singular triuth babu. Pia tambua hiyo ndio style yangu ya kupost atakayeona anahitaji ata PM then nimeandaa desa lenye picha, na maelezo kuhusu mimi ambalo ninamforwadia tu atasoma!! kaka hebu nyamaza huna hoja una viroja

heh heheh heh hebu nifowadie hilo desa na mie kuna anko wangu ana investiment za kumwaga kama unavyotaka. Age yupo 41, nime muhadithia hapa kafurahi mno, ni graduate pia kama utakavyo apiga kazi wizara ya nishati na giza. Changamka mdada!
 
Unanichefua tena ngoja nirudi, kwani Ashadii ndio kipimo cha perfection humu JF? kila mtu ana kipimo cha kujudge na kuperceive relity, hatuna singular triuth babu. Pia tambua hiyo ndio style yangu ya kupost atakayeona anahitaji ata PM then nimeandaa desa lenye picha, na maelezo kuhusu mimi ambalo ninamforwadia tu atasoma!! kaka hebu nyamaza huna hoja una viroja

Wapi nimesema AshaDii ni kipimo cha perfection humu JF? Kama kweli unaamini kuwa "kila mtu ana kipimo cha kujudge na kuperceive reality", then why are you mad on my judgment and perception of your thread? Kama hatuna singular truth, why then did you singled out my post? Inaelekea hao "wababa" wakikuuliza hayo maswali niliyokuuliza hapo juuutawajibu hawana hoja bali viroja.
 
Basi, basi, baaaasi mkuu utamkimbiza huyu! Badala ya m'baba utamfanya akatafute m'babu sasag teh teh teh. Jf 4 real

Wewe yani huyu mbeba mabox anaejifanya analyst anikimbize?ninaona anaysis ya mabox imemchosha, alae kesho ifike aendelee kuanalyse mabox huko
 
Basi, basi, baaaasi mkuu utamkimbiza huyu! Badala ya m'baba utamfanya akatafute m'babu sasag teh teh teh. Jf 4 real

Ukiona anakimbia hoja kwa kisingizio cha kuchefuka jua anatafuta "wababa" wenye viroja. Mwanamke wa miaka 27 tayari ameshachefuka na vijana wawili tuu. Kwa staili hii atachefuka sana.
 
Wewe yani huyu mbeba mabox anaejifanya analyst anikimbize?ninaona anaysis ya mabox imemchosha, alae kesho ifike aendelee kuanalyse mabox huko

Mabeba mabox ni mtu wa aina gani? And how do you analyse mabox?
 
Mabeba mabox ni mtu wa aina gani? And how do you analyse mabox?

Ndo nikuulize na wewe ujiulize mwenyewe. ulivyozoea kuyapanga mabox unafikiri na hoja utazipanga vilevile eeeeh?? wa wapi wewe??
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Ndo nikuulize na wewe ujiulize mwenyewe. ulivyozoea kuyapanga mabox unafikiri na hoja utazipanga vilevile eeeeh?? wa wapi wewe??

Uniulize mie wakati issue ya mabox umeileta mwenyewe? Mwanzoni uliniita ATM. Sasa unaniita Mbeba Mabox. From ATM to Mbeba Mbox within minutes. Which is which? Waiting for the next name. But I will always remain EMT.
 
ujumbe huu umfikie GANGO 2 popote ulipo, mimi binafisi sipendi avator yako ki ukweli nikiiangalia najisikia vibaya sana .. pleas if you dontmind change au usiweke avator maana unaweza ku change ndo ukaweka mbaya zaidi....samahani kama nitakuwa nimekuudhi
 
hebu nakadori toa ushuhuda ulivyotendwa mara mbili ili tukusaidie mawazo ya maana.
 
40 mpaka 50??? Huyo atakuwa mbabu asee! Chukulia umpate afu akuzalishe mtoto, atamaliza lini kumlea? Mtoto akiwa na 10yrz mama una 37 baba 47 au 57!! Khaa.

hesabu ni somo gumu sana hapa...
 
Pole Mrembo,
Kama umeamua na moyo wako unapata faraja kwa huyu mtu mzima kila la kheir,raha za huyu mtu mzima utakua unazujua wewe na dhiki za vijana pia umezipata wewe..lakini tuu kua makini sana unapo penda uso bwage moyo wako wote mapema mchunguze sana mtu kama huja msabilia...
 
Back
Top Bottom