Qulfayaqul
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 480
- 84
weka picha, biashara matangazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi m ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 ninayejishughulisha na niko focused. Ninasikitika kusema kuwa toka niyajue mapenzi nimekuwa ni mtu wa kutendwa tu kwenye relationship na wapenzi ambao ni vijana. Nimeamua kutafuta baba mwenye umri kuanzia miaka 40-50 ambaye ni single (labda alifiwa na mke, au alipewa talaka). Awe tayari kupima HIV, dini awe mkristo, elimu ya chuo kikuu, asiwe mfupi ila mrefu wa wastani, asiwe na kitambi ila awe na mwili wa wastani, awe anayefanya mazoezi ya viungo mara kwa mara (sio lazima kila siku), awe anajishuhulisha na kazi au biashara, kwa umri huu awe ameshafanya baadhi ya investments za maisha. Atakaebahatika atapata mapenzi motomoto na ya ukweli.. Mwenye vigezo hivyo atakapopatikana dirisha la usajili litafungwa muda wowote.
Niko zaidi ya serious katika hili.
= kabisaumesema najifanya nachambua, mie nimekujibu sijifanyi ila nachambua kweli. Kiswahili kigumu nini? Mimi sijakerwa kama unavyojaribu kufanya assumptions. Nimechambua thread yako kama ninavyochambua thread nyingine. Au kuchambua thread the way didn't want, ndio unafikiri umenikera? Unikere kwani nakujua? Ulitaka niipe thread yako upendeleo?
Umesema i should leave you alone. I can't leave you alone, simply b'se i have never been with you anyway. How can i leave you? Jf kuna thread nyingi lakini kila member anao uhuru wa kuchangia thread yoyote. Kama ulitaka thread yako isichangiwe na watu fulani, then badala ya kuazisha thread ungewa pm or you should have stated specifically in the thread that you don't like certain people (wachambuzi) to post on it (which of course is impossible).
Unaniambia niende kuleee. Ndio wapi huko? Kuhusu kutendwa ni kitu gani, wewe ndio umesema umetendwa na vijana na kwamba sasa unahitaji wababa kwa vile hawatakutenda(?). Ulikuwa na maana gani? Kuhusu kama wewe ndio wa kwanza kutendwa, kwani mimi nimesema wewe ndio wa kwanza au mwisho kutendwa?
Nimeamini wewe ni much-know, tufanye umeshinda! umefurahi eeeh?
Duuh sio mchezo...kama ingelikuwa ni mimi nisingethubutu maana hizo donts zimekuwa nyingi kupita kiasi. By the way, mapenzi si yapo machoni mwa anayetazama? Au siku hizi mambo yamekuwa tofauti, maana hii staili ni kama bora liende...Mimi m ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 ninayejishughulisha na niko focused. Ninasikitika kusema kuwa toka niyajue mapenzi nimekuwa ni mtu wa kutendwa tu kwenye relationship na wapenzi ambao ni vijana.
Nimeamua kutafuta baba mwenye umri kuanzia miaka 40-50 ambaye ni single (labda alifiwa na mke, au alipewa talaka).
Awe tayari kupima HIV, dini awe mkristo, elimu ya chuo kikuu, asiwe mfupi ila mrefu wa wastani, asiwe na kitambi ila awe na mwili wa wastani, awe anayefanya mazoezi ya viungo mara kwa mara (sio lazima kila siku), awe anajishuhulisha na kazi au biashara, kwa umri huu awe ameshafanya baadhi ya investments za maisha.
Atakaebahatika atapata mapenzi motomoto na ya ukweli.. Mwenye vigezo hivyo atakapopatikana dirisha la usajili litafungwa muda wowote.
Niko zaidi ya serious katika hili.
Mimi m ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 ninayejishughulisha na niko focused. Ninasikitika kusema kuwa toka niyajue mapenzi nimekuwa ni mtu wa kutendwa tu kwenye relationship na wapenzi ambao ni vijana. Nimeamua kutafuta baba mwenye umri kuanzia miaka 40-50 ambaye ni single (labda alifiwa na mke, au alipewa talaka). Awe tayari kupima HIV, dini awe mkristo, elimu ya chuo kikuu, asiwe mfupi ila mrefu wa wastani, asiwe na kitambi ila awe na mwili wa wastani, awe anayefanya mazoezi ya viungo mara kwa mara (sio lazima kila siku), awe anajishuhulisha na kazi au biashara, kwa umri huu awe ameshafanya baadhi ya investments za maisha. Atakaebahatika atapata mapenzi motomoto na ya ukweli.. Mwenye vigezo hivyo atakapopatikana dirisha la usajili litafungwa muda wowote.
Niko zaidi ya serious katika hili.
hesabu ni somo gumu sana hapa...
hesabu ni somo gumu sana hapa...
Mimi m ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 ninayejishughulisha na niko focused. Ninasikitika kusema kuwa toka niyajue mapenzi nimekuwa ni mtu wa kutendwa tu kwenye relationship na wapenzi ambao ni vijana. Nimeamua kutafuta baba mwenye umri kuanzia miaka 40-50 ambaye ni single (labda alifiwa na mke, au alipewa talaka).
Awe tayari kupima HIV, dini awe mkristo, elimu ya chuo kikuu, asiwe mfupi ila mrefu wa wastani, asiwe na kitambi ila awe na mwili wa wastani, awe anayefanya mazoezi ya viungo mara kwa mara (sio lazima kila siku), awe anajishuhulisha na kazi au biashara, kwa umri huu awe ameshafanya baadhi ya investments za maisha.
Atakaebahatika atapata mapenzi motomoto na ya ukweli.. Mwenye vigezo hivyo atakapopatikana dirisha la usajili litafungwa muda wowote.
Niko zaidi ya serious katika hili.
hesabu ni somo gumu sana hapa...
Sifa zote ninazo tatizo langu moja napenda tigo je ua ok? Kama ok safi tuwasiliane.
Hivyo vibabu vya age group hiyo ndivyo vinavyoongoza kwa cheating. Yaani wewe ukimpata umuombe Mungu tu hakuna formula yoyote hapo.
Afterall siku hizi 50 siyo mzee. Wazungu wanasema 'life begins at 50' . Maana pale jamaa ameshapeleka watoto shule na wao tayari wana kazi zao kwa hivyo yaliyobaki ni matanuzi tu.
He Godfrey Tajiri umenichekesha kweli kweli kuwaita above 50 'vimauti'. Sitaki hata kumwambia mume wangu maana yeye ni over 60 na bado ni moto wa kuotea mbali!