Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Hii tabia inakera sasa kwa siku nafuatwa na wanawake 6 mpaka 10 huku pm, wengi wao wanaomba mahusiano na mimi mwizukulu mgikuru a.k.a babu...nimechoka kutongozwa na akina beesmom.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzake wengine ni akina nani tukusaidie kuwatag mkuu😅..nimechoka kutongozwa na akina beesmom. ...
😂 😂 😂😂 mwambie atuvumilie maana hakuna namna....daah.ila nimecheka balaa
Asante sana mkuu....napitia kipindi kigumu na mateso makubwa😂😂😂 pole mkuu, hauko peke yako ni kero kwakweli
Sasa babu unafeli wapi mbususu zinajileta zenyewe ni kuzigegeda tu. Kweli penye miti mingi hakuna wajenziHii tabia inakera sasa kwa siku nafuatwa na wanawake 6 mpaka 10 huku pm....wengi wao wanaomba mahusiano na mimi mwizukulu mgikuru a.k.a babu...nimechoka kutongozwa na akina beesmom. ...
Hapana kwakweli...inatosha sasa niacheni nipumueNaomba nizame PM yako😘😘
Asante sana mkuu....napitia kipindi kigumu na mateso makubwa
😂 pole mkuu,Vumilia.Tupo wengi mnoAsante sana mkuu....napitia kipindi kigumu na mateso makubwa
Nioneeni huruma bhana....why me 😢Mtoa mada,hao wanaokufuata wamejieleza wanataka nini? Kama ndoa we oa wote tu usimwangushe Solomon(Suleiman)