Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Hiyo ya kifichoni, itakuwa shoo ya kibabeAseme hadharani nimpe kifichoni😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya kifichoni, itakuwa shoo ya kibabeAseme hadharani nimpe kifichoni😂
Amenitag aisee 😂 😂 balaa limeniangukia live
Ha ha haa,kuna mtu ataliwa kwa kupenda iviivi
Mababu huwa hawana tabia kama zako.Huu ni zaidi ya utoto.Hii tabia inakera sasa kwa siku nafuatwa na wanawake 6 mpaka 10 huku pm, wengi wao wanaomba mahusiano na mimi mwizukulu mgikuru a.k.a babu...nimechoka kutongozwa na akina beesmom.
Ni mzee ninaezeeka na uhansamu wanguBadilisha avatar bas, mi sikuzote najuaga kibabu kumbe kijana,maana mpaka unafatwa utakuwa unajulikana kwa uhb😂😂
Naanzaje 😂Wewe hujamzamia PM 😁😁
Baada ya krismas nitafanya hivyo mkuuPole mkuu, fanya kuifunga kwa muda kwanza 🤣😆
Woow! Bas wana sababu tosha aisee...chagua idadi ikufaayo( haji manara akushinde ....khaa)Ni mzee ninaezeeka na uhansamu wangu
Pole mkuu, wafariji na kuwapa majibu mazuri tu. Huenda hiyo avatar yako yenye sura ya handsomeboy imewavutia wakidhani huyo ni wewe.Asante sana mkuu....napitia kipindi kigumu na mateso makubwa
Kiukweli sijawahi kutoa tangazo popote au kumhitaji yoyoteMtoa mada Ulitoa Tangazo Gani Hadi wanakusumbua?
Nitajitahidi mkuuPole mkuu, wafariji na kuwapa majibu mazuri tu. Huenda hiyo avatar yako yenye sura ya handsomeboy imewavutia wakidhani huyo ni wewe.
Wewe ndio una ni MP kila saa na unataka umzamie na Mwizukulu mgikuru tena huniombagiNaomba nizame PM yako😘😘
Nimekuachia kijiti cha misifa. Nakubandika mavyeo kuanzia leo ww ni kanali wa misifaHii tabia inakera sasa kwa siku nafuatwa na wanawake 6 mpaka 10 huku pm, wengi wao wanaomba mahusiano na mimi mwizukulu mgikuru a.k.a babu...nimechoka kutongozwa na akina beesmom.
Asante mkuuNimekuachia kijiti cha misifa. Nakubandika mavyeo kuanzia leo ww ni kanali wa misifa
Mtaani kuna uhaba jaman atusitiri tu aache roho mbaya.
🤣🤣🤣😂😂😂 pole mkuu, hauko peke yako ni kero kwakweli