Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa sema nlikua nshaogopaHa ha haa,itakuwa nilienda kuomba uke wenza cute 😂
Nini tena cute?Hapo sawa sema nlikua nshaogopa
Vipi tena kuna muujiza? Nini kimetokea???Nini tena cute?
Badilisha avatar bhanaHongera Sana Mkuu ,wengine miaka 12 ndani ya JF lakini hatujawai kufuatwa PM na wanawake tupe mbinu mkuu.
Badilisha avatar bhana
Ntasema siku nyingine leo naomba niende tuNini tena cute?
Mkuu nani huyo ana bahati hivyo asee?Kuna jamaa namtamani humu jf nashindwa kumwambia halafu kafunga pm [emoji57]
Am walking away...from the trouble in life🎧🎼🎤Ngoja niweke ya Craig David kwenye wimbo wa Walkin Away.
Naogopa kumtajaMkuu nani huyo ana bahati hivyo asee?
😇pm him plzKuna jamaa namtamani humu jf nashindwa kumwambia halafu kafunga pm 😏
Kafunga😒😇pm him plz
Mchane makavu hapahapaKafunga😒
Sawa mpenzNtasema siku nyingine leo naomba niende tu
🤣🤣🤣 unataka niaibike shoga yanguMchane makavu hapahapa