Nimechoka kuishi Bongo

Nimechoka kuishi Bongo

Nyumbani ni popote moyo unapofurahia so Mungu akusaidie utimimize unachotamani ila nakushauri nenda hiyo nchi unayoitaman kama kutembea kwanza uangalie wenzio wanavyoishi huko then ulinganishe na maisha unayoishi leo bongo.Usiuze assets wala kuacha kazi kwanza dogo.
 
Jamani wambie watu Ukweli. Si rahisi hivyo kupata visitor's visa. Hata kama una mwenyeji wako, hapa nazungumzia nchi ambazo nazijua Inn and out. Inchi hizo ni UK, Holland, Germany, na US..Utapoteza pesa yako ya visa, ambayo ni pesa ndefu ambayo si chini ya 1.8 milion. Utaambulia kupata refusal ya juu kwa juu hata interview huitwi. Kama UK mwenyeji wako anatakiwa awe na mshahara si chini ya £ 24000 na awe na chumba cha ziada cha kukulaza ka si mpenzi wako. Hakuna cha kusema uta lala sebuleni. Hata akiwa na hivyo vyote lazima na wewe uwe a 'connection' na nchi yako unayotaka kama uwe na mali zisizo hamishika kama nyumba, shamba, familia, account nono bank na uwe unalipa kodi. Hata ukiwa na yo utaambiwa motive yako ni kutaka kuzamia ktk nchi yao
Inategemea na ajira yako mkuu mfano wengi wanaofanya kazi kwenye vyombo vya ulinzi na usalama huwa wanakubaliwa kupewa hizo visitor visas kiurahisi tu
 
Nenda bro, maisha popote....na kufa kupo palepale yanini kujitesa sehemu hutaki kukaa
Ubaya huko anakowaza kwenda inaonyesha wala hajakufanyia utafiti..!! Ni hulka za ujana tu ndo zinamuhangaisha. Hasa baada ya kusimuliwa na wengine
 
36m lakini najiona ni masikini sana tofauti na mleta mada anavuojiona Yuko vizuri
UMRI wake mzee,,hana majukumu na ndoto zake bado changa,, imagine anawaza auze asset aende marekani tu.
 
Habarini za humu wadau,

Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.

Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.
jaribu Gaza...
 
Habarini za humu wadau,

Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.

Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.
Wadogo zako kama wawili hivi?

Inamaana mkuu haujui idadi ya wadogo zako?

Maamuzi ni yako yote yawezekana kupata au kukosa na ukikosa usijutie mana umejifuza.
 
Habarini za humu wadau,

Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.

Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.

naomba tuwe marafiki
 
Kwahiyo huko kijijini kwenu ndo mliaminishwa kuwa doctor ndo anamshahara mkubwa sio? Mimi nina mtu namfahamu analipwa 5m+ na ni under 30,baki hivyo hivyo

Na wewe unalamba kiasi gani???
 
Habarini za humu wadau,

Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.

Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.
Fanya mpango uzamie Gambia
 
Habarini za humu wadau,

Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.

Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.
Nenda Gaza
 
Sawa, lakini je ni kweli kuwa wanawake huwa wanawafuata PM baada ya kuweka hizo ulizoziita “brag”?

Sina baya, nimekuwa tu interested kufahamu kama kweli hilo hutokea.
sijui kama huwa wanafuata watu PM ama laah,ila ninachojua wanawake wengi wavivu,tegemezi so akijua una chochote,rahisi kupatikana..so to flex ndio njia ya kuonesha I MADE IT

Kwako binafsi,,unaweza kuolewa na mwanaume ambae umemzidi kipato??
 
Back
Top Bottom