Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Kwani ndogo? Mbona mi nalipwa 2M kwa mwaka na nina kazi nzuri. Acha u much know dogo.Yaani unalipwa 24m per year unajiita una kazi nzuri ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ndogo? Mbona mi nalipwa 2M kwa mwaka na nina kazi nzuri. Acha u much know dogo.Yaani unalipwa 24m per year unajiita una kazi nzuri ?
Inategemea na ajira yako mkuu mfano wengi wanaofanya kazi kwenye vyombo vya ulinzi na usalama huwa wanakubaliwa kupewa hizo visitor visas kiurahisi tuJamani wambie watu Ukweli. Si rahisi hivyo kupata visitor's visa. Hata kama una mwenyeji wako, hapa nazungumzia nchi ambazo nazijua Inn and out. Inchi hizo ni UK, Holland, Germany, na US..Utapoteza pesa yako ya visa, ambayo ni pesa ndefu ambayo si chini ya 1.8 milion. Utaambulia kupata refusal ya juu kwa juu hata interview huitwi. Kama UK mwenyeji wako anatakiwa awe na mshahara si chini ya £ 24000 na awe na chumba cha ziada cha kukulaza ka si mpenzi wako. Hakuna cha kusema uta lala sebuleni. Hata akiwa na hivyo vyote lazima na wewe uwe a 'connection' na nchi yako unayotaka kama uwe na mali zisizo hamishika kama nyumba, shamba, familia, account nono bank na uwe unalipa kodi. Hata ukiwa na yo utaambiwa motive yako ni kutaka kuzamia ktk nchi yao
Ubaya huko anakowaza kwenda inaonyesha wala hajakufanyia utafiti..!! Ni hulka za ujana tu ndo zinamuhangaisha. Hasa baada ya kusimuliwa na wengineNenda bro, maisha popote....na kufa kupo palepale yanini kujitesa sehemu hutaki kukaa
UMRI wake mzee,,hana majukumu na ndoto zake bado changa,, imagine anawaza auze asset aende marekani tu.36m lakini najiona ni masikini sana tofauti na mleta mada anavuojiona Yuko vizuri
jaribu Gaza...Habarini za humu wadau,
Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.
Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.
Mshahara wa 2m+ ni mdogo? Kuna watu wanapokea 300k na maisha yanasonga.Binafsi nimemshangaa ana bajeti vipi hiyo pesa kuweza kuishi na kusaidia wazazi
Wadogo zako kama wawili hivi?Habarini za humu wadau,
Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.
Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.
Habarini za humu wadau,
Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.
Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.
Kwahiyo huko kijijini kwenu ndo mliaminishwa kuwa doctor ndo anamshahara mkubwa sio? Mimi nina mtu namfahamu analipwa 5m+ na ni under 30,baki hivyo hivyo
Box Huwa wanabeba new comersUnataka ukabebe box ulaya?
Fanya mpango uzamie GambiaHabarini za humu wadau,
Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.
Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.
Hivi huwa mpo serious kusema hivi?Watoto wa kike watakuja dm. Nadhani ndio lengo
Nenda GazaHabarini za humu wadau,
Mimi ni kijana wa 26 yrs, mkazi wa Dar es Salaam, nakaa Sinza. Nina kazi nzuri tu ambapo napata mshahara wa 2m+ basic salary. Sina mtoto wala sijaoa,nategemewa na famili yangu huko mkoani, pia ni kijana wa kwanza kwetu,wapo wadogo zangu kama wawili hivi.
Sawa ninapata pesa, nina kazi nzuri pia nina have fun weekends ila naoa life yangu hapa bongo kama bored hivi. Natamani nisave hata kwa mwaka na niuze vi assets vyangu nipate hata 20m hivi niende Marekani au UK huko. Sijui kwa nini lakini akili yangu ndo inanituma hivyo.
kaja ku brag,.kusema mshaara uwe mkubwa au mdogo haikua na umuhimu,.Hivi huwa mpo serious kusema hivi?
Sawa, lakini je ni kweli kuwa wanawake huwa wanawafuata PM baada ya kuweka hizo ulizoziita “brag”?kaja ku brag,.kusema mshaara uwe mkubwa au mdogo haikua na umuhimu,.
Tafuta mume uolewe tuYoyote tu ili mradi isitwaze utu wangu
sijui kama huwa wanafuata watu PM ama laah,ila ninachojua wanawake wengi wavivu,tegemezi so akijua una chochote,rahisi kupatikana..so to flex ndio njia ya kuonesha I MADE ITSawa, lakini je ni kweli kuwa wanawake huwa wanawafuata PM baada ya kuweka hizo ulizoziita “brag”?
Sina baya, nimekuwa tu interested kufahamu kama kweli hilo hutokea.