Nimechoka kupokea wageni

kabisa mkuu wala si uwongo ,shida ya watu wengi kutaka kujifanya wema
 

The guy is too clever[emoji23], ukitafuta uzuri utaishia kua maskini.
 
Mtoa Uzi utakuwa mchaga sio Kwa roho mbaya hivo,,, wachaga ndo wenye roho ya kwanini na uchoyo plus ukabila na hawataki kabisa ndugu wa mwenza wake waje

Na ndio maana wameendelea lbd kuzif makabila yote hawa jamaa na mara nyingi wanaoa wahaya sababu ni wabinafsi wenzao na hawataki tegemezi la kupitiliza, Africa hatuendelei sababu ya tegemezi...ni too much na cha maana hakuna zaidi ya kurudishwa nyuma kimaendeleo na kufitiniwa tu...jikute una roho nzuri sana tuone km hutakufa maskini! Kila kitu kiwe na kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…