Nimechoka kupokea wageni


Dah umeniwahi, watu wa tanga na wasukuma ni keroooo, na ni wanafki ukiwa nacho utawaona usipokua nacho hutakaa uwaone kamwe! Wa nini sasa? Fukuza
 
Wanamtegemea au wanakuja kusali hyo ni roho mbaya plus ghubu hamna kingine
 

Hii ndio tabia halisi ya Muafrika, sasa chagua sifa za kijinga au maendeleo yako
 
Dah umeniwahi, watu wa tanga na wasukuma ni keroooo, na ni wanafki ukiwa nacho utawaona usipokua nacho hutakaa uwaone kamwe! Wa nini sasa? Fukuza
Bila roho mbaya hutoboi ukioa kwenye hilo kabila ukajifanya baba wa Iman utapika ugali pipa 13
 
Habari! Naelewa kuwa wewe na mke wako mmeishi pamoja kwa miaka minne sasa na tatizo lako kubwa ni kwamba wageni hawaondoki nyumbani kwako, na ndugu zake wanatoka na kuingia kiasi kwamba huwezi kuokoa pesa yako.

Siku chache zilizopita, mgonjwa wa vidonda vya tumbo alikuja nyumbani Jumapili, ambapo kawaida hupikiwa pilau, lakini wewe mlipika ndizi kwa ajili yake. Walakini, alikwenda kugombania ukoko wa pilau na mtoto wako mdogo mpaka alipokwenda kukuambia chumbani.

Ni muhimu kuwasiliana na mke wako na kujadili jinsi ya kushughulikia hali hizi. Labda unaweza kuweka mipaka na wageni, kama vile kuzuia muda wa kukaa kwao au kuwakataa wageni kadhaa kabisa. Inaweza pia kuwa na manufaa kuwa na chumba cha wageni au eneo ambalo wanaweza kukaa badala ya kuvamia nafasi yako binafsi.

Kuhusu tukio la mgonjwa wa vidonda vya tumbo na chakula, ni muhimu kuwa na ufahamu na kukidhi mahitaji yake, lakini pia kuwasiliana wazi kuhusu unachoweza kutoa. Inaweza kuwa na manufaa kujadili na mke wako chaguzi mbadala za chakula ambazo zinaweza kukidhi mahitaji ya lishe ya wageni, lakini bado ziko ndani ya uwezo wako.

Kwa ujumla, mawasiliano na kuwe.....


Shenzi! MTOTO WA 2006 UMEFUNGA LINI NDOA, ACHA KUCHEZA NA AKILI ZA WATU[emoji23][emoji23]
 

Si bora wacheke watanyamaza my dear, kuna wengine ndio wanakua chanzo cha wewe kuanguka kabisa
 
Mhhh sawa, umasikini hawezi kuisha Afrika ukitaka kujikongoja kidogo ndugu haoooo
 
Si bora wacheke watanyamaza my dear, kuna wengine ndio wanakua chanzo cha wewe kuanguka kabisa
kabisa mimi haya nimeona kwa mzee wangu ,alivyokuwa na pesa zake watu walikuwa hawakauki nyumbani ,ila baada mzee kuyumba mpaka bi mkubwa ana lalamika hakuna anayekwenda hapo home,mimi mpaka nimekuwa na maisha yangu huwa sipendi mazoea na ndgu na hasa mnaotaftana baada ya kuwa na maisha ya afadhali ,
 

Yaani mkuu, kuna msemo unasema mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba, ukiendekeza mandugu na kutaka kuonekana mwema maendeleo utayasikia kwa jirani! Ni wanafki na washirikina wakutaka ufeli wacheke...achana nao jali familia yako tu, wwo wape kiasi na wasikuzoee watapeana taarifa tu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…