Nimechoka kupokea wageni

Umeoa msambaa nini?
We cha kufanya hapo ni kununua shamba moja kubwa kinyama na majembe ya mkono wakija hata kiangazi ni kuwajaza shambani wakapalilie hata yale majani yanayoitwa mashona nguo

Halafu suala la msosi usipike msosi wa sherehe man hapo ndo unakwama pilau ya nini sasa? Hapo pika ngumu kumeza mboga maji Mingi mchicha nne ili mradi tu maji yawe ya kijani kama chai wanatoezea tonge la ugali imeisha hiyo
Uone kama Kuna mtu atakaa hapo
 

Ulifaa kua mchawi, maana una kipaji cha kua mchawi
 
Njoo kule kwa Oleg tunakudai, achana na mambo ya pilau mzee baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…