Nimechoka kupokea wageni

Nimechoka kupokea wageni

Umeoa msambaa nini?
We cha kufanya hapo ni kununua shamba moja kubwa kinyama na majembe ya mkono wakija hata kiangazi ni kuwajaza shambani wakapalilie hata yale majani yanayoitwa mashona nguo

Halafu suala la msosi usipike msosi wa sherehe man hapo ndo unakwama pilau ya nini sasa? Hapo pika ngumu kumeza mboga maji Mingi mchicha nne ili mradi tu maji yawe ya kijani kama chai wanatoezea tonge la ugali imeisha hiyo
Uone kama Kuna mtu atakaa hapo
 
Umeoa msambaa nini?
We cha kufanya hapo ni kununua shamba moja kubwa kinyama na majembe ya mkono wakija hata kiangazi ni kuwajaza shambani wakapalilie hata yale majani yanayoitwa mashona nguo

Halafu suala la msosi usipike msosi wa sherehe man hapo ndo unakwama pilau ya nini sasa? Hapo pika ngumu kumeza mboga maji Mingi mchicha nne ili mradi tu maji yawe ya kijani kama chai wanatoezea tonge la ugali imeisha hiyo
Uone kama Kuna mtu atakaa hapo

Ulifaa kua mchawi, maana una kipaji cha kua mchawi
 
Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Njoo kule kwa Oleg tunakudai, achana na mambo ya pilau mzee baba.
 
Back
Top Bottom