Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Tukisema hii story yake ni ☕ atabisha?Dogo ameoa kipindi hata kudinda inawezekana ilikua bado[emoji23]
Hivi wee Johnnie Walker unatuchukuliaje aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukisema hii story yake ni ☕ atabisha?Dogo ameoa kipindi hata kudinda inawezekana ilikua bado[emoji23]
vijana wa huo umri wakuaga na fantasy sana..... 😂
Dogo wa mwaka 2006 😃😃😃Dogo ameoa kipindi hata kudinda inawezekana ilikua bado[emoji23]
Dogo anastahili kuhojiwa 😅😅Na serikali ipo busy kupinga ndoa za utotoni.
Napendekeza dogo akamatwe ahojiwe 😂😂
mi mwenyewe wa 2004 ila siwezi kulisha watu matango-pori kiasi hiki 😂Dogo wa mwaka 2006 😃😃😃
[emoji23] Wewe wa 2004? Yaan humu kumbe kuna muda huwa tunajibizana na watoto wetu aisee naacha kuanzia leo.mi mwenyewe wa 2004 ila siwezi kulisha watu matango-pori kiasi hiki [emoji23]
age is just a number 😂 mbona huku mtaani mnatuhonga tuwashughulikie😂[emoji23] Wewe wa 2004? Yaan humu kumbe kuna muda huwa tunajibizana na watoto wetu aisee naacha kuanzia leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
NakaziaDogo anastahili kuhojiwa 😅😅
Mwaka huo niko secondary, dogo em uwe unasalimia wakubwami mwenyewe wa 2004 ila siwezi kulisha watu matango-pori kiasi hiki 😂
🤣🤣🤣[emoji23] Wewe wa 2004? Yaan humu kumbe kuna muda huwa tunajibizana na watoto wetu aisee naacha kuanzia leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
relax😂Mwaka huo niko secondary, dogo em uwe unasalimia wakubwa
Umeoa msambaa nini?
We cha kufanya hapo ni kununua shamba moja kubwa kinyama na majembe ya mkono wakija hata kiangazi ni kuwajaza shambani wakapalilie hata yale majani yanayoitwa mashona nguo
Halafu suala la msosi usipike msosi wa sherehe man hapo ndo unakwama pilau ya nini sasa? Hapo pika ngumu kumeza mboga maji Mingi mchicha nne ili mradi tu maji yawe ya kijani kama chai wanatoezea tonge la ugali imeisha hiyo
Uone kama Kuna mtu atakaa hapo
Naanzaje kurelax kwa mfano, aki siwez🤣relax😂
haya basi, shikamoo shangazii....😂Naanzaje kurelax kwa mfano, aki siwez🤣
Mtoto mdogo sanaMimi nishasema nazaliwa 2006
Njoo kule kwa Oleg tunakudai, achana na mambo ya pilau mzee baba.Hellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.