Nimechoka kupokea wageni

Nimechoka kupokea wageni

Dogo ameoa kipindi hata kudinda inawezekana ilikua bado[emoji23]
😂😂😂😂 eeh father benard
mi mwenyewe wa 2004 ila siwezi kulisha watu matango-pori kiasi hiki 😂
Sema dogo una akili kumzidi Johnnie Walker
[emoji23] Wewe wa 2004? Yaan humu kumbe kuna muda huwa tunajibizana na watoto wetu aisee naacha kuanzia leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 mwanao wa ngap huyo?
Mwaka huo niko secondary, dogo em uwe unasalimia wakubwa
😅 shangaziii
 
Ulifaa kua mchawi, maana una kipaji cha kua mchawi
Wasambaa acheni hayo mambo yenu mtu anaoa hata hamalizi miezi miwili mmeshajaa kwake ukifika mlangoni malapa yamejaa kama msikitini tutatoboa kweli? Kosa letu ni kuoa wasambaa au?
 
Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Kwanza wageni ni baraka. Endelea kuwapokea weka miradi hapo mfano mabanda ya kuku, bata, njiwa na kama uko nje wa mji weka pia ya mbuzi, ng'ombe na nguruwe. Anzisha bustani ya mchicha, kabechi, spinach na nyanya. Akikaa siku 2 ya tatu mpe kazi ya kufanya. Hao ni cheap labour. Ndani ya mwaka mmoja utanishukru.
 
Back
Top Bottom