third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
Siku zote ndivyo ilivyo ukitaka ndoa idumu upate wa kufanana naye.Hii umeongea kiutani ila imenipa hisia kali sana!! Kuna watu tunawaona mijini wanatamba ila siri ya wayafanyayo wanayo wawili tu (mke na mume), ndiyo raha ya kufanana.
Haya, sie tumeoana mie kwa waganga we mlokole!! Vitagongana tu, hamtoboi kamwe!!
Aminia kipenzi!! Tutawanga kinoma ila kama hatupati utajiri wa kufikia kununua Boeing "zetu" private kuloga sitaki!!!
JF hii ni kubwa sana Sis. 😂😂😂Hatuonani!
Siwezi kupata gram 150 mkuu, napima carbon kabla sijaipandisha kwa hiyo najua nimepandisha nini? Na nikishusha napima nijue zimebaki ppm ngp?Gram 500 ni ndogo mkuu?
Ukitaraji gram 500 ukapata gram 150 utarudisha gharama?
Hicho ndo kinatukuta wenzio,
Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu,Siwezi kupata gram 150 mkuu, napima carbon kabla sijaipandisha kwa hiyo najua nimepandisha nini? Na nikishusha napima nijue zimebaki ppm ngp?
Mkuu, using'ang'anie mbeya wakati kuna machimbo kibao tu Tanzania watu wanapiga hela, nenda hata shinyanga kafanye utafiti sehemu moja inaitwa nyandolwa.
Tafuta watu wenye uzoefu ungana nao upige kazi. Ukipata uzoefu wa kutosha , anza kupambana mwenyewe mkuu pesa ipo usikate tamaa.
Yaani kama Congo Forest😁JF hii ni kubwa sana Sis. 😂😂😂
Utaliwa hela zako humu...naona vichenchede vipo tayari...Mmmh hapana mkuu, mtoto mwenyewe nnae mmoja tu ndo roho yangu
😆 😆 😆 😆RED flag, we Jamaa ni Dume Ila umevaa uhusika wa kike why?
Hakika but ndo hivyo, Thanks God tumeonana tena hapa 😀Yaani kama Congo Forest😁
Hakika but ndo hivyo, Thanks God tumeonana tena hapaYaani kama Congo Forest😁
Riziki mafungu saba hata akiliwa sio ishu 😂😂😂Utaliwa hela zako humu...naona vichenchede vipo tayari...
😂🤣 kwa upande wangu hakuna nachoficha, lbd kwa wengine ila cha msingi tupige kazi mkuu hakuna mganga zaidi ya mungu
Naomba uchukue ushauri huu Mkuu ambao na Baadhi wamekushauri hapo juu....
Sekta ya uchimbaji wa madini ni 'illusion' imezungukwa na kiini macho na ushirikina Mkubwa Sana Tena Sana.. ninapokwambia hivi ni experience from the field sio kuandika tu hapa JF.
Kama huamini kwenye kupata madini kwa ushirikina I can assure you wewe sio mchimbaji. Bila mganga Tena mganga mzuri hutoboi utafirisika na kua chizi. It's either ubadili kazi au ufate ushauri.
Hao ambao Mdau mmoja amezungumza hapo juu kwamba wazungu wanatumia teknolojia sijui Nini Nini, nakuhakikishia wao ni washirikina namba moja. Kumbuka tumeijua Freemason kupitia Sheikh Yahaya na hakuonesha imeanzia Tanzania , Bali imeanzia ulaya. So connect dots.
Wachina, Wahindi wote Wana tamaduni zao ambazo zinaashiria shiriki. Sema kwa huku kwetu inaonekana Uchawi. Kila duka la muhindi ametundika majani mlangoni lla wabongo tunasifia tu MO tajiri hujui Nini nyuma ya pazia ibada zao ni zipi.
So huo ndio ushauri wangu.. Ila Kumbuka...
GOD IS EVERYTHING
GOD IS ABLE
GOD IS ABOVE ALL
BELIEVE IN GOD
Kuna mgodi mkubwa wa wachina uko Makongorosi , mara kwa mara huwa wanachinja mbuzi wanaweka kwenye vizimba vyao wanachoma na madawa madawa,
Anyway, idea yako ni nzuri unaonaje ukiifanyia kazi huoni kama utapiga hela?
You know there's a special place in my heart for you.Hatuonani!
Binafsi issues za ushirikina zilinishinda nikakubali yaishe, nimefanya kazi migodi kadhaa kwenye mikoa tofauti, hata mlio wa kakola namba 9 na namba 2 nilikuwepo, tulikuwa tunaenda kusaga mawe kule nyamalapa, hata kitunda tabora nilikuwepo, na sijawahi kuona dhahabu nzuri kuzidi ya kitunda.Mlifanyaje kukabiliana na changamoto kama hizi
Lakini pia mkuu Kuna malalamiko kwa wadau kwamba ata baadhi ya maabara wanatoa majibu kwa maelekezo ile kama kutia watu moyo pia michezo ya kwenye madini ni mingi sana, miaka 3 kwa huyu jamaaa yetu ni mingi sana lazima akubali Kuna shida mahala, kuanzia site lab, plant Hadi elllution au mazingira anayofanyia kazi
Cha kushangaza hana gari dah! Yaani anaharibu million 40, na hana gari hata la raki 3. Mimi huo ujinga sifanyi.
Ukikua utajua