Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Unacho kitaka wewe ni connection maalumu.
Nakifupi nikwamba ushafanya uganga sana ila bado hujaambulia kitu.
Sasa nacho weza kukusaidia ninjia bora yenye maamuzi makubwa hii njia niyakufungua jicho latatu ambalo utaweka nguvu hapo najuhudi ili uweze kupata vitu hivo unavo kusudia kupitia maono yandani mwako.
Ila inakutaka kichwa kiwe timamu najasili katika kile nintakacho kuelekeza.
Chukua namba hapo.
 

Attachments

  • IMG_20240510_093724_377.JPG
    IMG_20240510_093724_377.JPG
    116.9 KB · Views: 8
Hii umeongea kiutani ila imenipa hisia kali sana!! Kuna watu tunawaona mijini wanatamba ila siri ya wayafanyayo wanayo wawili tu (mke na mume), ndiyo raha ya kufanana.

Haya, sie tumeoana mie kwa waganga we mlokole!! Vitagongana tu, hamtoboi kamwe!!

Aminia kipenzi!! Tutawanga kinoma ila kama hatupati utajiri wa kufikia kununua Boeing "zetu" private kuloga sitaki!!!
Siku zote ndivyo ilivyo ukitaka ndoa idumu upate wa kufanana naye.
Kuna wanandoa mume alikuwa jambazi akapata mke naye kaxi kinyama, unaambiwa wakiwa wanavamia mke ndio anashika SMG mume anakusanya maokoto.

Mwingine mume tapeli akapata mke naye dada wa town mjanja mjanja akawa akienda kupiga deals za kiskama anamtanguliza mke front wanapiga mkwanja fresh tu.

Kwahiyo hiz mambo inatakiwa mfanane ndio mtatoboa, huwezi kuwa unajitafuta huku una slay queen lazima utafute mchawi wako nani?
 
Gram 500 ni ndogo mkuu?

Ukitaraji gram 500 ukapata gram 150 utarudisha gharama?
Hicho ndo kinatukuta wenzio,

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
Siwezi kupata gram 150 mkuu, napima carbon kabla sijaipandisha kwa hiyo najua nimepandisha nini? Na nikishusha napima nijue zimebaki ppm ngp?

Mkuu, using'ang'anie mbeya wakati kuna machimbo kibao tu Tanzania watu wanapiga hela, nenda hata shinyanga kafanye utafiti sehemu moja inaitwa nyandolwa.

Tafuta watu wenye uzoefu ungana nao upige kazi. Ukipata uzoefu wa kutosha , anza kupambana mwenyewe mkuu pesa ipo usikate tamaa.
 
Siwezi kupata gram 150 mkuu, napima carbon kabla sijaipandisha kwa hiyo najua nimepandisha nini? Na nikishusha napima nijue zimebaki ppm ngp?

Mkuu, using'ang'anie mbeya wakati kuna machimbo kibao tu Tanzania watu wanapiga hela, nenda hata shinyanga kafanye utafiti sehemu moja inaitwa nyandolwa.

Tafuta watu wenye uzoefu ungana nao upige kazi. Ukipata uzoefu wa kutosha , anza kupambana mwenyewe mkuu pesa ipo usikate tamaa.
Sawa mkuu,

Lkn mkuu kuna namna mnaficha code

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
 
Naomba uchukue ushauri huu Mkuu ambao na Baadhi wamekushauri hapo juu....

Sekta ya uchimbaji wa madini ni 'illusion' imezungukwa na kiini macho na ushirikina Mkubwa Sana Tena Sana.. ninapokwambia hivi ni experience from the field sio kuandika tu hapa JF.

Kama huamini kwenye kupata madini kwa ushirikina I can assure you wewe sio mchimbaji. Bila mganga Tena mganga mzuri hutoboi utafirisika na kua chizi. It's either ubadili kazi au ufate ushauri.

Hao ambao Mdau mmoja amezungumza hapo juu kwamba wazungu wanatumia teknolojia sijui Nini Nini, nakuhakikishia wao ni washirikina namba moja. Kumbuka tumeijua Freemason kupitia Sheikh Yahaya na hakuonesha imeanzia Tanzania , Bali imeanzia ulaya. So connect dots.

Wachina, Wahindi wote Wana tamaduni zao ambazo zinaashiria shiriki. Sema kwa huku kwetu inaonekana Uchawi. Kila duka la muhindi ametundika majani mlangoni lla wabongo tunasifia tu MO tajiri hujui Nini nyuma ya pazia ibada zao ni zipi.

So huo ndio ushauri wangu.. Ila Kumbuka...

GOD IS EVERYTHING
GOD IS ABLE
GOD IS ABOVE ALL
BELIEVE IN GOD

Huu ujinga mnasomea wapi?

Tumia uchawi madini yatokee ghetto kwako.
 
Kuna mgodi mkubwa wa wachina uko Makongorosi , mara kwa mara huwa wanachinja mbuzi wanaweka kwenye vizimba vyao wanachoma na madawa madawa,

Anyway, idea yako ni nzuri unaonaje ukiifanyia kazi huoni kama utapiga hela?

Kama unaamini lazima uwe mshirikina kutoboa umasubiri nini hadi Leo kwenda kwa mganga?
 
Mlifanyaje kukabiliana na changamoto kama hizi
Binafsi issues za ushirikina zilinishinda nikakubali yaishe, nimefanya kazi migodi kadhaa kwenye mikoa tofauti, hata mlio wa kakola namba 9 na namba 2 nilikuwepo, tulikuwa tunaenda kusaga mawe kule nyamalapa, hata kitunda tabora nilikuwepo, na sijawahi kuona dhahabu nzuri kuzidi ya kitunda.
IMG_20190828_112759.jpg
 
Lakini pia mkuu Kuna malalamiko kwa wadau kwamba ata baadhi ya maabara wanatoa majibu kwa maelekezo ile kama kutia watu moyo pia michezo ya kwenye madini ni mingi sana, miaka 3 kwa huyu jamaaa yetu ni mingi sana lazima akubali Kuna shida mahala, kuanzia site lab, plant Hadi elllution au mazingira anayofanyia kazi

Cha kushangaza hana gari dah! Yaani anaharibu million 40, na hana gari hata la raki 3. Mimi huo ujinga sifanyi.

40M kwenye madini tena kwa miaka 3 ni hela ndogo sanaaaaa. Kama alidhani ataweka 40M apate 1B alikua anajidanganya. Unavuna kile ulichopanda. Nachelewa kusema alikua anacheza tu.
 
Back
Top Bottom