Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Mkuu ni zaidi ya miaka 3, kuna kitu hakipo sawa, mtusaidie mnapoenda na sisi tujilinde
Kama mwamba upo na unasoma ila pia Kuna Wakati huwa ukamua dhahabu kwa nini kuwa na hyo shida kama huchanganyi material yako na cjui hyo ppm yako huwa inasoma chini Wakati gani, yaani ni Wakati ukiwa unaendeleaje na kazi ama ukitoka kuloweleka yaani hyo ppm ya moja au 2 huwa inatokea wapi ni duarani au baada ya kazi na je kadri unavyozidi kwenda chini ndo inashuka ppm au
 
Zile gram unazopata baada ya kutoka elution, unalinganisha na mzigo uliopelela plant
 
Lakini pia mkuu Kuna malalamiko kwa wadau kwamba ata baadhi ya maabara wanatoa majibu kwa maelekezo ile kama kutia watu moyo pia michezo ya kwenye madini ni mingi sana, miaka 3 kwa huyu jamaaa yetu ni mingi sana lazima akubali Kuna shida mahala, kuanzia site lab, plant Hadi elllution au mazingira anayofanyia kazi
 
Usinisimange mkuu, nipe msaada
Msaada wangu nimeshakupa hapo juu.

Nimekuuliza "wewe ni mchimbaji kweli", maana nimeshangaa unapoona na kukataa uchorongaji kwa kukodisha mobile compressor haviwezi kukupa hela na kutoboa maisha kwenye uchimbaji.

Naongea vitu ninavyovifahamu, ndio maana nikakwambia kama uchimbaji umekushinda wekeza kwenye ukodishaji wa vifaa Kwa hela na kuingia shares au UNATAKA NIKUONYESHE MGANGA NDIO UONE NIMEKUSAIDIA?.

huku ukikodisha vifaa kata na leseni ya brokers ikiwezekana master dealer, nunua vipoint na vigram Kwa hao wanaokuja kwenye mwalo wako peleka Dar kila 2 x weeks, in 2 yrs hautakuwa hata na muda wakuja huku JF kushukuru maana utakuwa busy kwenda Dubai na Thai.

All the best.
 
Zile gram unazopata baada ya kutoka elution, unalinganisha na mzigo uliopelela plant
Kaka Kuna shida mahala we amini ivo kama una uhakika na kazi yako kuanzia site na duara lako bac jua shida Iko plant kwa mkemia wako dawa unazotumia pia lakini pia kama hapo unapata mtu sahihi basi jua jua unapigwa elllution yaani kweny ile final point ndo unapigwa, mfano mzigo wako wa mwisho carbon yako ilisomaje kabla hujapandisha elllution na ulikuwa na Tani ngapi za carbon, je ulivuna kama ulivyotegemea kama ni hapana je uliulizia na kupewa sababu ili ujipange?
 
Kina Sabodo wamenywesha wee wadau maji ya kafara kwenye visima wabongo tunashangilia nakumpongeza marehemu alikuwa na roho nzuri ya kujitolea.

mrangi King Kong III johnthebaptist
 
Bado ni wazo zuri sana mkuuu sema hatujui kama huko aliko compressor ni nying ila pia Ina hela nzuri tu , halafu pia anaweza kuwa anauza ata vifaaa vya blasting kwa wachimbaji wenzake anachoronga huku anasupply vifaaa vya blasting Bado inawezekana hili pia ni wazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…