Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Wewe uko theoritical sana hayo mambo hayaendi kisomi kama unavo fikilia njoo migodini ujionee watu wanagundua madini bila hizo theory
Kipimo gani ofsa?

Unazungumzia kitu kama hiki?

View attachment 2985797

Hicho kipimo cha milion 10 ni level za GMT (pichani) ambacho sio mchongo kabisa na siku hizi hakifai hata kwa survey.

Uchimbaji wa madini wa mdau ni wa karasha wa kudili na mawe maana yake hayo mavipimo kwa shughuli yake ni useless

View attachment 2985798


View attachment 2985799
Kwa hiyo hapo umeona neno kipimo tu mate?
 
Ndio shida yenu wachimbaji wadogo....ujuaji mwingi hivi unadhani Migodi mikubwa kama GGM,Barrick kuwa na maexpert wa kutosha na advanced tools ni wajinga....wewe kama unachimba loko na unapata faida basi jua unajichelewesha sana mkuu....acha kudharau taaluma za watu.
Mkuu uchimbaji mkubwa una gharama sana, unahitaji kuwa na fedha nyingi pia
 
Wanajamvi

Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni

Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya,

Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika shughuli hii.

Huwa nnajitahidi kupima miamba kila hatua kama inavyoshauriwa lkn matokeo mara zote huwa kinyume na matarajio,

Mfano unaweza kupima mwamba ukaambiwa ni wastani wa ppm 8 lkn unachokuja kukipata ni wastani wa ppm 1

Wadau wengi hawataki kutoa siri ya wapi wanapitia ili kuhakikisha kile wanachotakiwa kukipata wanakipata,

Tafadhali sana, mwenye kujua namna nnaweza kupata msaada wa kweli tafadhali msaada hapo PM
Pole, usikate tamaa siku yako ipo ila uchawi unao ? Wanasema huko had uwe mchawi,tafuta m,Moja umtoe kafara mkuu
 
Niko kwenye madini sina uzoefu kivile lakini mambo ni zaidi ya uyajuavyo.... Hiyo losi uliyokula ni ndogo sana kwenye hii field nakushauri mdogo wangu anza kununua mifuko kama mtaji wako ni mdogo au kama una mtaji mkubwa nunua dhahabu kamili kawauzie ma tycoon wa kazi,,,, ukishindwa kuna wakubwa wa kazi wanaijua migodi yote Tanzania hii tafuta connection uwe unapewa pesa na kwanunulia mzigo ndani ya hiyo pesa utajua jinsi ya kujiongeza.
 
Unatumia kigezo gani kujua tatizo ni nyota?
Si km hivyo mgodi hautemi, wenzio wameichafua nyota majini hayakuelewi. Hayo madini hayapatikani hovyo utapata hizo hizo ndogo ndogo za kuvimbia kitaa ila za kumiliki bus km wenzio kina Sauli utazisikia kwenye bomba.

Toa kafara upige mshindo bulaza unafeli wapi weye? Safisha nyota hiyo mgodi uteme
 
Niko kwenye madini sina uzoefu kivile lakini mambo ni zaidi ya uyajuavyo.... Hiyo losi uliyokula ni ndogo sana kwenye hii field nakushauri mdogo wangu anza kununua mifuko kama mtaji wako ni mdogo au kama una mtaji mkubwa nunua dhahabu kamili kawauzie ma tycoon wa kazi,,,, ukishindwa kuna wakubwa wa kazi wanaijua migodi yote Tanzania hii tafuta connection uwe unapewa pesa na kwanunulia mzigo ndani ya hiyo pesa utajua jinsi ya kujiongeza.
Kuna uwezekano mkubwa ukawa ni mdogo wangu,

Risk ya biashara ya kununua na kuuza dhahabu nnaijua vizuri sana,

Ila nimechagua hii na mimi nnataka kujua zaidi, nnamini ntafanikiwa iwe kwa jua au mvua
 
Si km hivyo mgodi hautemi, wenzio wameichafua nyota majini hayakuelewi. Hayo madini hayapatikani hovyo utapata hizo hizo ndogo ndogo za kuvimbia kitaa ila za kumiliki bus km wenzio kina Sauli utazisikia kwenye bomba.

Toa kafara upige mshindo bulaza unafeli wapi weye? Safisha nyota hiyo mgodi uteme
😁😁😁 Aangushe m, Moja
 
Si km hivyo mgodi hautemi, wenzio wameichafua nyota majini hayakuelewi. Hayo madini hayapatikani hovyo utapata hizo hizo ndogo ndogo za kuvimbia kitaa ila za kumiliki bus km wenzio kina Sauli utazisikia kwenye bomba.

Toa kafara upige mshindo bulaza unafeli wapi weye? Safisha nyota hiyo mgodi uteme
Sawa mkuu, any idea sehemu pa kuanzia?
 
Back
Top Bottom