Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Ni kwa namna gani ana ficha hizo code?
Jamaa kakupa ushauri mzuri kabisa, nimesoma uzi wako na michango ya wadau wote. Mpaka mwisho nimegundua wewe unataka connection ya kwenda kwa mganga, maana unapewa ushauri tofauti na huo una kaza fuvu kuwa kuna mahala wanaficha. Wewe sema unataka connection ya mganga upewe.
Jamaa kakupa ushauri mzuri kabisa, nimesoma uzi wako na michango ya wadau wote. Mpaka mwisho nimegundua wewe unataka connection ya kwenda kwa mganga, maana unapewa ushauri tofauti na huo una kaza fuvu kuwa kuna mahala wanaficha. Wewe sema unataka connection ya mganga upewe.