Nimechoka na Mahusiano Yangu. Naomba ushauri

Duh! Achana nae uwe na amani ya moyo, mshirikiane malezi ya watoto pacha, ingawa anaweza kukusumbua hata kuwaona watoto mara mtakapoachana, anaonyesha ana vinasaba vya ushetani anakukomoa.
Mtikise bila huruma ameshazizowea pesa zako hivyo haoni thamani yake.
 
Yaani katoto kameona huyo ni kaka ake mama yake atamwitaje baba… akaona ajiongeze amwite mjomba… yaani kijana amedharaulika na mama na mtoto wake
daaah kweli hizi dharau ngoja nikakate makofi kakijichanganya
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka hapo kuhusu hako katoto.

Huyo mwanamke mpige chini tu,hana maana
 
Miaka 25 tu ushachoka? 😅😅😅

Ashakuona wewe ni fala.
 
Chai jaba😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…