Chukua likizo fupi gentleman,Yani sina amani roho inauma mwili umechoka kabisa nahisi Hadi kuumwa kwa dharau hizi
Mkuu ushauri wako mara nyingi umekaa kimajungu🤣 🐒Chukua likizo fupi gentleman,
nadhani kuna wengi humu naweza sema wanapitia makubwa zaidi ya hilo na wanaona soni tu kuomba ushauri na walau kupata relief.
I think hiyo ni miongoni mwa hali utakazopitia hata ukiamua kumuacha huyo ukamuoa mwingine. Lazima zipo kasoro na dosari za kukera katika nyumba au ndoa zitaibuka tu.
Na dawa yake ni kua mstahimilivu na mwenye subra, lakini pia kutumia akili kubwa, hekima na busara katika kulitafutia ufumbuzi jambo hilo.
Please gentleman, focus on resolving and no running away 🐒
Ila we dogo bwana, unataka mdada akuzidi 10yrs🤣🤣🤣Wanakuja ila naomba niseme tu,
Umenihamasisha sana.
Kuwa kwenye mahusiano na KE aliyekuzidi miaka 7 ni jambo ambalo kiukweli linanivutia sana.
Na mpaka ukampachika mimba aisee😅
Hongera.
Kaka mkubwa dogo kiupande fulani yupo sahihi mno🤗Ila we dogo bwana, unataka mdada akuzidi 10yrs🤣🤣🤣
Akifika 50 wewe bado chalii kabisa, utaanza tabia za hovyo🤣🤣
Ni wazuri sanaIla we dogo bwana, unataka mdada akuzidi 10yrs🤣🤣🤣
Akifika 50 wewe bado chalii kabisa, utaanza tabia za hovyo🤣🤣
gentleman,Mkuu ushauri wako mara nyingi umekaa kimajungu🤣 🐒
Nimekulewa sana mkuu mashuka huu ushauli wako [emoji419]Chukua likizo fupi gentleman,
nadhani kuna wengi humu naweza sema wanapitia makubwa zaidi ya hilo na wanaona soni tu kuomba ushauri na walau kupata relief.
I think hiyo ni miongoni mwa hali utakazopitia hata ukiamua kumuacha huyo ukamuoa mwingine. Lazima zipo kasoro na dosari za kukera katika nyumba au ndoa zitaibuka tu.
Na dawa yake ni kua mstahimilivu na mwenye subra, lakini pia kutumia akili kubwa, hekima na busara katika kulitafutia ufumbuzi jambo hilo.
Please gentleman, focus on resolving and no running away [emoji205]
Sawa mkuu nitakutafuta siku moja🤣gentleman,
majungu ya upande gani tena kwenye mawadha na nasaha zangu muhimu kwa muungwana na majamaa wengine ambao ndoa na mahusiano yao yamekolea?
let me assure you,
ukifuata mawaidha yangu Lazima ufanikiwe kutoka katika changamoto unayoipitia 🐒
Ila we dogo bwana, unataka mdada akuzidi 10yrs🤣🤣🤣Wanakuja ila naomba niseme tu,
Umenihamasisha sana.
Kuwa kwenye mahusiano na KE aliyekuzidi miaka 7 ni jambo ambalo kiukweli linanivutia sana.
Na mpaka ukampachika mimba aisee😅
Hongera.
Unaungana na dogo, kuwa na mahusiano na mtu mzima zaidi? Sio vibaya na sio sheria kuoa mwanamke mdogo kiumri, ila kibaiolojia..mmh hapo ulipo tafuta mdada yupo 40s uweke ndani🤣Kaka mkubwa dogo kiupande fulani yupo sahihi mno🤗
Unaungana na dogo, kuwa na mahusiano na mtu mzima zaidi? Sio vibaya na sio sheria kuoa mwanamke mdogo kiumri, ila kibaiolojia..mmh hapo ulipo tafuta mdada yupo 40s uweke ndani🤣Kaka mkubwa dogo kiupande fulani yupo sahihi mno🤗
Wazuri kivipi dogo, ni kipi unakiona kwao ambacho wadogo kwako hawana?Ni wazuri sana
Mkuu kwangu mimi hata mtoto wa alfu mbili kuoa itakua ni ngumu 🤣🤣 nilipofikia ni hit and run kwa sasa🤣🤣🤣Unaungana na dogo, kuwa na mahusiano na mtu mzima zaidi? Sio vibaya na sio sheria kuoa mwanamke mdogo kiumri, ila kibaiolojia..mmh hapo ulipo tafuta mdada yupo 40s uweke ndani🤣
Ni kweli, hao wa afmbili ni changamoto sana, ila waliokuzidi umri pia ni changamoto...tofauti ya 4-10yrs sio mbaya na wewe uwe mkubwa🤣Mkuu kwangu mimi hata mtoto wa alfu mbili kuoa itakua ni ngumu 🤣🤣 nilipofikia ni hit and run kwa sasa🤣🤣🤣
No,Sawa mkuu nitakutafuta siku moja🤣
Habari wakuu,
Mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 25. Nilikuwa kwenye mahusiano na mwanamke ambaye ananizidi umri kwa miaka 7. Yeye ana mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 8 kutoka kwenye mahusiano ya awali. Katika mahusiano yetu, mwanamke huyu alipata mimba ya watoto mapacha.
Kila siku namuachia shilingi 20,000 kwa matumizi, na mara chache sana ambapo nimekosa, namuachia shilingi 15,000. Kwa mwezi, inaweza kuwa mara 5 hadi 6 ambapo namuachia shilingi 15,000. Ikitokea siku sijatoa hela, lazima kesho yake nimuachie shilingi 25,000 hadi 30,000 ili kufidia siku iliyopita.
Huyu mwanamke ananipa lawama nyingi sana na anaona hela ninayomuachia haitoshi. Maneno yake mabaya yamenichosha kabisa, nimefika kiwango Cha mwisho cha uvumilivu kwa ajili ya mdomo wake. Anataka nimskilize na nimfuate kila anachosema, lakini mimi sijaumbwa hivyo kumskiliza mwanamke anachotaka ndo nikifanye. Anaona kama ananikomoa kwenye matumizi.
Pia Mimi ni mnywaji wa pombe na naweza kutumia zaidi ya shilingi 50,000 nikiwa na marafiki zangu basi huyu mwanamke hapendi marafiki zangu na hata akikuta nimekaa nao, hawasalmii, wakimsalmia haitikii, Yani amenichosha. Nimemchoka mwili hadi akili, sina raha kabisa. Hata haka katoto chake ni kajeuri balaa na kalikuwa hakaniamkii kakawa kanipigwa na mama ake sasahivi ndo kananiakia shkamoo mjomba kakaniona kananua Yani Kila mtu ananichosha kwakweli Yani nachoka ntakufa sasa, WAKUU NIMECHOKA MWILI HADI AKILI.
Naombeni ushauri wenu wakuu nifanyaje maana akili yangu inachoka kabisa. Nimechoka mwili na akili, sina raha.
Asanteni.
Sure bro, now nimebakiwa na kabinti kangu acha kwanza nikatunze vizuri, now naenda kuwa chapa ilale tu mkuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli, hao wa afmbili ni changamoto sana, ila waliokuzidi umri pia ni changamoto...tofauti ya 4-10yrs sio mbaya na wewe uwe mkubwa🤣