Nimechoka na Mahusiano Yangu. Naomba ushauri

Mbona unanifokea sasa ongea talatibu
 
🤣🤣🤣 ni vile haujui tu, jinsi hayo maneno yako yanakera hasa ukiwa kwenye kile kitengo chako cha uchawa gentleman 🐒
 
Unaoa wa hivi halafu unatarajia nini? Tafuta bikira, hautateseka hivyo.
 
Huna akili unataka ushauriwe na nani amua wewe kama unaona anachokifanya ni sahihi endelea Nae ulipata wapi ujasiri wa kuoa mashangazi unaokuzid miaka 7 mbona hukuomba ushauri wkt mnatongozana
 
Huna akili unataka ushauriwe na nani amua wewe kama unaona anachokifanya ni sahihi endelea Nae ulipata wapi ujasiri wa kuoa mashangazi unaokuzid miaka 7 mbona hukuomba ushauri wkt mnatongozana
Daaah sawa bana
 
Huna akili unataka ushauriwe na nani amua wewe kama unaona anachokifanya ni sahihi endelea Nae ulipata wapi ujasiri wa kuoa mashangazi unaokuzid miaka 7 mbona hukuomba ushauri wkt mnatongozana
Daaah sawa bana
 
Ciao a tutti,

Sono un giovane di 25 anni. Ero in una relazione con una donna di 7 anni più grande di me. Lei ha una figlia di 8 anni da una relazione precedente. Durante la nostra relazione, questa donna è rimasta incinta di due gemelli.

Ogni giorno, le do 20,000 scellini per le spese, e in rare occasioni, quando non posso, le do 15,000 scellini. In un mese, questo può accadere 5 o 6 volte. Se salto un giorno, devo darle tra 25,000 e 30,000 scellini il giorno successivo per compensare.

Questa donna si lamenta molto e pensa che i soldi che le do non siano sufficienti. Le sue parole dure mi hanno esaurito, e ho raggiunto il limite della mia pazienza a causa del suo atteggiamento. Vuole che io la ascolti e segua tutto ciò che dice, ma non sono fatto così. Lei pensa che mi stia punendo con queste spese.

Sono un bevitore e posso spendere oltre 50,000 scellini quando esco con i miei amici. A questa donna non piacciono i miei amici e, anche quando mi trova con loro, non li saluta. Sono stanco di lei, sia fisicamente che mentalmente. Anche la sua bambina è molto maleducata e di recente mi ha salutato dicendo "shikamoo zio."

Vi chiedo un consiglio perché la mia mente è completamente esausta. Sono stanco fisicamente e mentalmente, e non ho pace.


Grazie.
 
🤣🤣🤣 ni vile haujui tu, jinsi hayo maneno yako yanakera hasa ukiwa kwenye kile kitengo chako cha uchawa gentleman 🐒
siku zote kibinafsi nipo mahali sahihi, na kwa wakati sahihi ninasimama kwenye nafasi yangu vizuri sana kwa maslahi mapana ya wadau wa JF na Taifa kwa ujumla.

kamwe siwezi kubababika na eti sijui nani amekereka au amefurahia mawaidha yangu.

Ile focus kubwa na muhimu sana ni kuhakukishwa jamii na wadau wa JF, wanajikwamua pale walipokwama kulingana na masaibu wanayopitia.

vinginevyo JF ni shule na darasa muhimu sana kwangu na kwahivyo nakuswa mno na kila hoja ya mdau yeyote wa JF katika majukwaa yote 🐒
 
Kila nikitafta binti bikra naisikia Ile Sauti ya shikamoo 🤣mpaka sometimes naona nongwa naona bora nikomae na hii mipunaji mikubwa mbususu kama madiaba
Tafuta bikra = tafuta jela.


Kawadanganye walio sinzia mkuu🤣🤣🤣
 
Majukwaa ambayo huwa sijachangii n Yale ya Israel, siasa na mpira, maswala ya dini pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…