Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole ndoto ya kula chakula ni sadaka au ibada kwa miunge ambayo sio kristo yesu, kwa hyo umeingia kwenye agano nao (usiogope dawa ipo)Wakuu mimi ni 26 Me, mzaliwa wa kanda ya ziwa, taaluma yangu Medical doctor degree, nimeletwa na mambo mawili;
Kwanza
Naota nakula sana mara nyingi ni wali na matunda na muda mwingine unajaribu kukataa kabisa ila kuna mtu anakubembeleza. Hii ya leo nimeenda sokoni nikakuta matunda mfano wa nyanya nkasema ninunue, yalionekana mabaya ila muuzaji ambae ni mwanamke, binti yake na mume wake wakayarekebisha na kunipa nile. Tena walikuwa wananisimamia nikila na kuyasifia ile naamka nshakula na mdomoni pamejaa mate na tumbo liko full.
Pili
Naota sana napiga mitihani au napambania kupiga mitihani ya level ambazo nishapita na utakuta napambania sana kupata hiyo nafasi huku wenye mamlaka wakinibania. Hii ya juzi nimeota nimefeli f4 nikarudi kurudia primary kusoma na wadogo zangu ambao nao hawako primary walishatoka kitambo.
Kuhusu maisha yangu mimi niko single, wanawake nakuwa nao kwa hamu, wengine wa kununua, wengine ni wale wanaojichanganya tu; sina mapenzi kabisa na nlishasahau mapenzi ya kweli yakoje.
Nliwahi na huwa nanunua malaya ambapo kwenye harakati hizo huwa natetemeka sana, moyo unauma na mapigo ya moyo kwenda mbio na kila nikifanikiwa kuwa naye mlingoti unazingua kusoma na nkifankiwa kumaliza naye mchezo roho inasuta hadi natamani kufa ila siku zikipita tena narudia.
Idadi ya malaya niliowahi kununua haiesabiki na hadi jana nimefanya hadi naandika hapa roho inauma mno. Nna uhakika asilimia mia hakuna anayejua na anayeweza kudhani hata kwa kuhisi kuwa mimi naweza kununua malaya.
Mahusiano yangu na wanawake ni mabovu sana nkishalala nae tu namsahau naanza kuangalia mwingine wengi wanalia na kuona nazingua maana kwa muonekano nlonao mwanamke akiniona atasema huyu ndo mwanaume ila akinijua vizuri ataishia kulia maana hatachoka kuona rangi za kila aina.
Mimi pia n introvert nachoshwa na watu waongeaji sana nafurahi kampani yangu mwenyewe, sinaga maneno mengi huwa naongea kufikia conclusion na sipendi majadiliano ya muda mrefu. Naweza kumkubalia mtu ashinde kwenye majadiliano na wakati ndani ya moyo wangu nmekataa.
Nna marafiki wachache sana ambao naweza sema ni quality, naweza kuzoeana na watu kwa muda mchache na kupotezeana nao kirahisi. Kuhusu wazazi na wadogo zangu nawajali sana kwa lolote wanalohitaji napambana waweze kupata.
Nilikuwa mtu wa dini na imani sana ila siku hizi sisali na mlango wa kanisa nmeusahau. Maisha yangu ya shule hayakuwahi kuwa magumu kwenye ufaulu, hadi sasa nina ajira kwenye taasisi binafsi, kama kazi za kitabibu napiga kweli ila naona ufahamu wangu unapungua sana sitaki kusoma na thinking yangu naona inapungua.vision na malengo yangu ya kimaisha hayako na mpangilio yani kuna namna nnavopangilia maisha ya mbeleni sio kama nlivokuwa awali.
Maswali nnayojiuliza ni mawili;
Kwann kila siku ndoto zangu ni hizo mbili na sio za maisha kama nlvokuwa hapo nyuma
Pili kwa nn nakosa vision na maisha yangu ya mbeleni yan naamka naenda napiga kazi narudi kulala cycle inaendelea.
Nliyoyaandika yote ndo nmekuwa nkipitia tangu nkiwa na miaka 20 nkiwa mwaka wa kwanza chuo. Baada ya miaka sita ya maisha ya namna hii nmeamua leo nifunguke niweke wazi wakuu mnisaidie maana hadi naandika hapa nmechoshwa na ndo mara ya kwanza nalizungumzia.
Mnisamehe uandishi wangu hauko vizuri sana.
AseePole ndoto ya kula chakula ni sadaka au ibada kwa miunge ambayo sio kristo yesu, kwa hyo umeingia kwenye agano nao (usiogope dawa ipo)
Ndoto ya kufanya mtihani level ya chini maana yake unaludishwa nyuma kimaendeleo ( jambo dogo Sana hili)
La kufanya OKOKA, YAN JIKABIDHI MAISHA YAKO KWA YESU
BILA KUOKOKA HAKUNA DAWA NYINGINE UTAKAYO IPATA HAIPO ,
Usipumbazwe na walio okoka na wakaendelea na maisha ya dhambi hao wasikuludishe nyuma ,
Jikane wewe mwenyewe uingie kwa kristo then , Mambo mengine utaambiwa uko, sijui upo wapi lakin ebu fanya hivi tuwasiliane 0698901560, mim sio mchungaji ni mshirika tu, tutaelekezana vzr mim na ww ,
Sali kwa imani yakoWakuu mimi ni 26 Me, mzaliwa wa kanda ya ziwa, taaluma yangu Medical doctor degree, nimeletwa na mambo mawili;
Kwanza
Naota nakula sana mara nyingi ni wali na matunda na muda mwingine unajaribu kukataa kabisa ila kuna mtu anakubembeleza. Hii ya leo nimeenda sokoni nikakuta matunda mfano wa nyanya nkasema ninunue, yalionekana mabaya ila muuzaji ambae ni mwanamke, binti yake na mume wake wakayarekebisha na kunipa nile. Tena walikuwa wananisimamia nikila na kuyasifia ile naamka nshakula na mdomoni pamejaa mate na tumbo liko full.
Pili
Naota sana napiga mitihani au napambania kupiga mitihani ya level ambazo nishapita na utakuta napambania sana kupata hiyo nafasi huku wenye mamlaka wakinibania. Hii ya juzi nimeota nimefeli f4 nikarudi kurudia primary kusoma na wadogo zangu ambao nao hawako primary walishatoka kitambo.
Kuhusu maisha yangu mimi niko single, wanawake nakuwa nao kwa hamu, wengine wa kununua, wengine ni wale wanaojichanganya tu; sina mapenzi kabisa na nlishasahau mapenzi ya kweli yakoje.
Nliwahi na huwa nanunua malaya ambapo kwenye harakati hizo huwa natetemeka sana, moyo unauma na mapigo ya moyo kwenda mbio na kila nikifanikiwa kuwa naye mlingoti unazingua kusoma na nkifankiwa kumaliza naye mchezo roho inasuta hadi natamani kufa ila siku zikipita tena narudia.
Idadi ya malaya niliowahi kununua haiesabiki na hadi jana nimefanya hadi naandika hapa roho inauma mno. Nna uhakika asilimia mia hakuna anayejua na anayeweza kudhani hata kwa kuhisi kuwa mimi naweza kununua malaya.
Mahusiano yangu na wanawake ni mabovu sana nkishalala nae tu namsahau naanza kuangalia mwingine wengi wanalia na kuona nazingua maana kwa muonekano nlonao mwanamke akiniona atasema huyu ndo mwanaume ila akinijua vizuri ataishia kulia maana hatachoka kuona rangi za kila aina.
Mimi pia n introvert nachoshwa na watu waongeaji sana nafurahi kampani yangu mwenyewe, sinaga maneno mengi huwa naongea kufikia conclusion na sipendi majadiliano ya muda mrefu. Naweza kumkubalia mtu ashinde kwenye majadiliano na wakati ndani ya moyo wangu nmekataa.
Nna marafiki wachache sana ambao naweza sema ni quality, naweza kuzoeana na watu kwa muda mchache na kupotezeana nao kirahisi. Kuhusu wazazi na wadogo zangu nawajali sana kwa lolote wanalohitaji napambana waweze kupata.
Nilikuwa mtu wa dini na imani sana ila siku hizi sisali na mlango wa kanisa nmeusahau. Maisha yangu ya shule hayakuwahi kuwa magumu kwenye ufaulu, hadi sasa nina ajira kwenye taasisi binafsi, kama kazi za kitabibu napiga kweli ila naona ufahamu wangu unapungua sana sitaki kusoma na thinking yangu naona inapungua.vision na malengo yangu ya kimaisha hayako na mpangilio yani kuna namna nnavopangilia maisha ya mbeleni sio kama nlivokuwa awali.
Maswali nnayojiuliza ni mawili;
Kwann kila siku ndoto zangu ni hizo mbili na sio za maisha kama nlvokuwa hapo nyuma
Pili kwa nn nakosa vision na maisha yangu ya mbeleni yan naamka naenda napiga kazi narudi kulala cycle inaendelea.
Nliyoyaandika yote ndo nmekuwa nkipitia tangu nkiwa na miaka 20 nkiwa mwaka wa kwanza chuo. Baada ya miaka sita ya maisha ya namna hii nmeamua leo nifunguke niweke wazi wakuu mnisaidie maana hadi naandika hapa nmechoshwa na ndo mara ya kwanza nalizungumzia.
Mnisamehe uandishi wangu hauko vizuri sana.