Nimechoka, naenda kununua gari

Utaanza sasa kuitwa "baba mwenye gari" ingawaje "baba mwenye nyumba" ndilo jina lenye kusikika sana katika viunga vya miji mbalimbali.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Usinunue IST. Utakuja tena kutulalamikiaa kuwa haina heshima. Pambana kidogo, chukua benki 20m nunua gari ya kueleweka.
Kwa hiyo 20 ni kama ndinga gani ya kueleweka.

Sijaona haja ya kuanzisha uzi mpya nimekutana na uzi unaoendana na mawazo yangu nimeamua kutembea nao, naokota madini taratibu.
 
🤣🤣🤣
 
Kama umemwambia kweli. Kutafuta external validation na ku feel inadequacy ni ugonjwa Kama ugonjwa mwingine.
Nashukuru Mungu hii makitu huwa hayanisumbui. Kama gari la biashara sawa Ila Sasa la kutembelea Kama hauna kipato Cha uhakika utaumia zaidi. Ile furaha ya kitu huwa inawahi kuisha ndani ya two years basi unaona Kama kawaida
 
Chukua gari kubwa kidogo, kuanzia Harrier siyo mbaya. Kuanzia 18 unaweza kupata. Lakini always remember changanya na zako
Hakika ndugu, mtu mzima hadi anachukua maamuzi hayo keshapiga hesabu nyingi sana.
 

[emoji28][emoji28] walekomsilam.
 
Hahaha utaishia kujisikia inferior kwa lingine tu.

Nimekuwa na uwezo wa kununua gari toka 2016 ila ni mwaka huu ndio nimeona ninunue. Kitu kilichokuwa kinanisukuma ni kupandikisha pesa zaidi katika biashara na kuepuka kuongeza gharama za maisha.

Sijui kipato chako ni bei gani ila kama ni chini ya 1 mil kwa mwezi bado si muda sahihi. Endeleza pesa yako katika biashara uwe na hata 20 mil savings na kipato cha 2 mil kwa mwezi utakuwa katika a more comfortable position.
 
Sabb zako za kununua gari ni dhaifu sana uwe na malengo ya zaidi na hilo, gari Dar ina hudumiwa kwa average ya 20,000 kwa kila siku mwezi ni 600k, mshahara wako kama ni 900k monthly, siunaona unaingia kwenye dimbwi la 'urban silent poverty'
Gari si lazima utembelee kila siku. Balance shobo tu unaweza ukalipaki ukawa unatumia dala dala siku za weekend unaendea kwenye vikao iwe bar au kanisani ila likiwepo tu ni advantage kwako.
 
Hakuna IST ya 7.5m nzima ndugu.. unaenda nunua matatzo... Utakua mteja wa fund kila siku..

Ni bora ukanunua gar ndogo ya brand nyingne kwa hela hyo lakin mpya..

Zipo swift, fun cargo.. vi nissan kibao..

Hyo gar ya mkonon utajuta
Gari ya mkononi wengi huwa sio waaminifu imeshakufa vitu vinawekwa vya kuunga unga uichkue ukafe nayo.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Ndio inavokuwa hasa ukiwa na familia ni shida. Mtoto ili utoke nae unatokaa na full package yake anaweza kuoga njian kula na kulala.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Gari si lazima utembelee kila siku. Balance shobo tu unaweza ukalipaki ukawa unatumia dala dala siku za weekend unaendea kwenye vikao iwe bar au kanisani ila likiwepo tu ni advantage kwako.
Mkuu hapo ndo kuwa economically illogical mtu anajijenga bado kwanini upaki 13m bila kuitumia kuongeza value kwenye maisha yako hiyo inakua wastage of resources kwa kijana, hayo yana fanywa na watu kama nyie ambao mna magari mengi na mmesha jijenga kiuchumi tayari.
 
kanunue fasta,mimi nilinunua ninayo mwaka sasa,pamoja na vitisho vingi,nilipata amani ya moyo wangu,siku nikiamua napaki na nikiamua natembelea,sipangiwi na mtu...
 
Atahama mpaka wapi? Atakimbia mitaa mpaka lini? Maisha ni leo, kesho ni ya Mungu, acha anunue gari apate amani ya moyo, kukosa mafuta ya 20,000/ ni tofauti sana na kutokuwa na gari kabisa...
 
atahama mpaka wapi?,atakimbia mitaa mpaka lini?maisha ni leo,kesho ni ya Mungu,acha anunue gari apate amani ya moyo,kukosa mafuta ya 20,000/ ni tofauti sana na kutokuwa na gari kabisa...
Kuna wale wa mtaani utawasikia, UZA GARI KANUNUE MAFUTA..!! We mdanganye tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…