Nimechoka, naenda kununua gari

Gari ni muhimu sana, kama una uwezo wa kununua na kulihudumia nunua tu.
 
Wengine watakwambia ukanunue kiwanja Kerege ujenge sababu ni asset.
Nunua ndinga hiyo leta heshima, binadamu hajawahi kukosa sehemu ya kulala, ila anakosa usafiri.
kama nimekuelewa hv mkuu
 

Kopa wala usiogope

Lakini kopa kene main fianancial instutions kama banks

Achana na hela za vikundi,microfinance na watu binafsi


Kwa taarifa yako hakuna tajiri ananunua liabilities kwa cash,hata hayo ma range wengi wamekopa na life linasonga

We vp bhn unaishije bila deni mjini apa[emoji23]

Kopa uongeze uwezo wa kufikiri utagundua mpk kipaji chako mradi deni liishe
 
Ukishanunua gari utaona ajabu yaani hutokosa hela ya mafuta, utapambana mpaka uipate kwa njia yoyote ile, huwezi amini siku nyingine napakiaga abiria wakati naenda job ilimradi nipate adjustment ya kuongezea mafuta.
We jilipue tu nunua mambo mengine yatafata.
 
C ununue tuh pikpik hilo gali l milion 7 mbn nd dharau zitazid kwan rafik zako wana magar y aina gan
 
Ulinunua gari gani mkuu?
Crown ni mnyama.
 
Ukinunua crown hiyo ya sasa uniuzie mimi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…