Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Pambana nao ilimradi kadi inatapika chochote kitu by end of the month.Daaah asee kweli mkuu....ila kazini nako unoko unoko tu yaan[emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambana nao ilimradi kadi inatapika chochote kitu by end of the month.Daaah asee kweli mkuu....ila kazini nako unoko unoko tu yaan[emoji848][emoji848]
[emoji23]Ukizingatia wengine wanaongezeka kama kikokotoo cha Heslb cha retention fees[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanasema shule zilitudai ufaulu,,,mtaa unatudai mafanikio!Maisha ni mtihani mkubwa Sana zaidi ya ule wa UE.kikubwa uzima.
Hii ni kweli asee...but usiombe ishu iwe ni ya mapenzi, yaan mtu anakufokea tuu ilimradi kujifanya mambo ya kazi kumbe ana ishu na wewe privatePambana nao ilimradi kadi inatapika chochote kitu by end of the month.
Ww jamaa bhana 😂😂😂😂 Kwahy unajishughulisha na utafutaji wa Pesa.?Najishughulisha na utafutaji wa fedha hapa mjini kwa namna tofauti tofauti tu!
Good...hapa dar or mkoani?Najishughulisha na utafutaji wa fedha hapa mjini kwa namna tofauti tofauti tu!
Dah hii kweli changamoto mamii, maswala ya kazi yakimixiwa na hisia za mapenzi mtifuano wake sio poa hasa kama upande mmoja haupati ushirikiano mzuri! Hio changamoto inahitaji ukaze roho tu maana kutoa tunda kimasihara ndio muarubaini wa majanga😂 ila utaishi kitumwa baada ya hilo!Hii ni kweli asee...but usiombe ishu iwe ni ya mapenzi, yaan mtu anakufokea tuu ilimradi kujifanya mambo ya kazi kumbe ana ishu na wewe private
Na hii ni daily, omba sana yasikukute[emoji848]
Eeh mzee baba..,kwa ishu yoyote ambayo itazalisha pesa mwishoni usisite kunisanua tuje kupiga maana ndio shughuli ambazo nazifanya hapa town kwa sasa!😂😂😂Ww jamaa bhana 😂😂😂😂 Kwahy unajishughulisha na utafutaji wa Pesa.?
Hapa hapa Dar tu bibie, Moshi nilihama rasmi toka last year!Good...hapa dar or mkoani?
Umeona msala huo sasa[emoji22]Dah hii kweli changamoto mamii, maswala ya kazi yakimixiwa na hisia za mapenzi mtifuano wake sio poa hasa kama upande mmoja haupati ushirikiano mzuri! Hio changamoto inahitaji ukaze roho tu maana kutoa tunda kimasihara ndio muarubaini wa majanga[emoji23] ila utaishi kitumwa baada ya hilo!
Duuuh kumbe ushatoka moshi?Hapa hapa Dar tu bibie, Moshi nilihama rasmi toka last year!
Ila angalia mwana usije kuwa punda[emoji16][emoji16]Eeh mzee baba..,kwa ishu yoyote ambayo itazalisha pesa mwishoni usisite kunisanua tuje kupiga maana ndio shughuli ambazo nazifanya hapa town kwa sasa![emoji23][emoji23][emoji23]
Hiko kipengele kiukweli unaenda ofisini na mawazoUmeona msala huo sasa[emoji22]
Yaan kila ikifika asubuhi unawaza leo huyu jamaa sijui atanirushia tofali gani!
Tunavyokwambia tunatafuta mitaji usiwe unatucheka ndo mambo kama haya
Hahahah kuwa punda hapana bana. Mitikasi mingine sio sioIla angalia mwana usije kuwa punda[emoji16][emoji16]
Ah wapi mjini pamoto sana aiseeDuuuh kumbe ushatoka moshi?
Karibu Dar hapa utatoboa hela nje nje[emoji39][emoji39]
Unautengenezaje mkuu,maana hata kupata kibarua cha saidia fundi nishida mpaka connection.
Unapiga zile mishe zetu za mandinga? Lazima utoboe, Dar mtu yuko radhi afe na njaa lakini gari liwe barabarani [emoji16][emoji16]Ah wapi mjini pamoto sana aisee
Engineering zipi hazina hela mkuu?Wasome kozi za hela,
Finance,
Accounting,
Business Administration,.
Economics,
Commerce,
Science zenye hela,
Engineering zenye hela,
Tunapambana tuUnapiga zile mishe zetu za mandinga? Lazima utoboe, Dar mtu yuko radhi afe na njaa lakini gari liwe barabarani [emoji16][emoji16]
Mchomee akome na ushamba wake.Hii ni kweli asee...but usiombe ishu iwe ni ya mapenzi, yaan mtu anakufokea tuu ilimradi kujifanya mambo ya kazi kumbe ana ishu na wewe private
Na hii ni daily, omba sana yasikukute[emoji848]