nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,250
- 1,727
- Thread starter
- #21
Sawa ila hapanaMikopo ni vizuri itumike kwenye vitu vinavyozalisha....tofauti na hapo kunachangamoto nyingi huko mbeleni
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila hapanaMikopo ni vizuri itumike kwenye vitu vinavyozalisha....tofauti na hapo kunachangamoto nyingi huko mbeleni
wewe ni kichaa kwakua unasema unavitega uchumi yan upo vizuri, na bado mwsho wa mwez mshahara, sasa umekopa ili iweje? then unasema upewe ushaur ununue gar gani itakayobaki ule bata, wekeza kijana ni ushauri tuWakwanza wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nikuulize kitu,wewe ulishawahi kumiliki gari siku za nyuma kabla ya Sasa?
Nilidhani unauza figo bandama na mapafu jamaa yangu ataitaji figoHabar zenu, nimekopa milion 30 bank CRDB, nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata .nipen ushauri wadau
Nb:nimechagua hizo gari kwa ajili ya matumizi madogo ya wese
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuwa na mshahara wa 600k take home alafu upewe mkopo wa 30mil. Atakuwa ana mshahara mzuri tu kwa mkopo huoNi kweli mkuu.
Utakuta hapo mshahara wake laki 6 take home.
Akikatwa mkopo wa benki ibaki laki 3.5.
Halaf hyo hyo alishe familia na nyingine anunue mafuta ya gari.
Wakati huo hapo gari ni mpya then baada ya mwaka gari ikianza kuchoka ataanza kununua spea.
Hivi ndio umaskini hukaribishwa kwenye familia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mpya 0.00KM, ni USED japan, MPYA kwa hapa TZMkuu
IST mpya kabisa hataipata kwa 15m.
Nina vitega uchumi kadhaa ambavyo vinasaidia mwisho wa mwez sigusi mshahara wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mpya 0.00KM, ni USED japan, MPYA kwa hapa TZ
Ukiagiza ni kati ya 10.5M hadi 12M hadi unaiweka barabarani.
Atakuwa Dodoma huyuWrite your reply... Kweli kuna vichaa
Atadhani unataniaAkiri za kuwaza kununua gari aina ya IST au Alex kwa pesa ya mkopo sio akiri za maendeleo wewe utakua mtumishi tu, hujazoea hela mshahara wako ndo umekua dhamana ya mkopo kwa miaka kama mitano hapo naona kama umekaribisha umasikini rasmi katika familia......
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mirembeAtakuwa Dodoma huyu