Nimechukua mkopo benki, naomba ushauri katika namna niliyopanga kuutumia

Nimechukua mkopo benki, naomba ushauri katika namna niliyopanga kuutumia

UNGEOMBA USHAURI KABLA YA KWENDA KUCHUKUA MKOPO NA SIO UCHUKUE KWANZA, UNGEOMBA USHAURI KUHUSU MATUMIZI NA SI UOMBE USHAURI BAADA YA KU AINISHA MATUMIZI YAKO, SASA UNATAKA USHAURI UPI TENA NA UMESHAPANGA KILA KITU. TUKIKUSHAURI UTAKUBALIANA NA USHAURI WETU? HAYA TUNAKUSHAURI RUDISHA HIZO PESA ZOTE CRDB BENKI WAELEZE SIHITAJI TENA MKOPO WENU, BADALA YAKE WEKEZA KIDOGO KIDOGO KWENYE KIPATO CHAKO ILI UWEZE KUTIMIZA MAHITITAJI MENGINE, AU ACHANA NA MIPANGO YOTE KUHUSU MATUMIZI YA HIZO PESA TUTAKUPANGIA SISI LA KUFANYA. UNASEMAJE MKUU.
 
UNGEOMBA USHAURI KABLA YA KWENDA KUCHUKUA MKOPO NA SIO UCHUKUE KWANZA, UNGEOMBA USHAURI KUHUSU MATUMIZI NA SI UOMBE USHAURI BAADA YA KU AINISHA MATUMIZI YAKO, SASA UNATAKA USHAURI UPI TENA NA UMESHAPANGA KILA KITU. TUKIKUSHAURI UTAKUBALIANA NA USHAURI WETU? HAYA TUNAKUSHAURI RUDISHA HIZO PESA ZOTE CRDB BENKI WAELEZE SIHITAJI TENA MKOPO WENU, BADALA YAKE WEKEZA KIDOGO KIDOGO KWENYE KIPATO CHAKO ILI UWEZE KUTIMIZA MAHITITAJI MENGINE, AU ACHANA NA MIPANGO YOTE KUHUSU MATUMIZI YA HIZO PESA TUTAKUPANGIA SISI LA KUFANYA. UNASEMAJE MKUU.
Nimeomba ushauri wa aina ya gar ya kununua nasio kama unavofikiria wewe..UWE UNASOMA POST VIZUR KABLA YA KUCOMENT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
achana na IST gari haina mbele wala nyuma. chukua Mark x gari ya bata au athlete crown unaweza kupata below 15M. lakini ni gari ambazo hazitakuingizia hela badala yake utakua unatoa hela tu ya wese na service.

Ningekuwa wewe!

1. kwa kuwa nahitaji usafiri basi nitachukua suzuki carry kwa 7M inakuwa bado ipo safi kabisa. Hii mbali na kuitumia kwa usafiri itanifaa kwa kubeba miZigo midogomidogo na kupiga hela.


2. kwa kuwa sina akili ya kibiashara (kutokana na uzi wako) basi ningejenga nyumba kubwa ya kupanga niwe nakula kodi kila mwezi.

3. kwa kuwa baada ya kufanya hayo kuna pesa itabaki, basi nitanunua viwanja kadhaa ili vinifae kwa siku za baadae.

yaano hapo ningekuwa mm ningefanya hayo. ila ww sio mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
C kasema anataka kutembelea mata*ko na kumalizia mjengo wake chanika [emoji848], inayobaki ale bata wa kutosha
Sasa hizohizo habari za mama ushauri za nini [emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na mambo ya kujenga na kununua gari.wewe kula bata.Tembelea uber tu.Wewe ni milionea sasa
 
achana na IST gari haina mbele wala nyuma. chukua Mark x gari ya bata au athlete crown unaweza kupata below 15M. lakini ni gari ambazo hazitakuingizia hela badala yake utakua unatoa hela tu ya wese na service.

Ningekuwa wewe!

1. kwa kuwa nahitaji usafiri basi nitachukua suzuki carry kwa 7M inakuwa bado ipo safi kabisa. Hii mbali na kuitumia kwa usafiri itanifaa kwa kubeba miZigo midogomidogo na kupiga hela.


2. kwa kuwa sina akili ya kibiashara (kutokana na uzi wako) basi ningejenga nyumba kubwa ya kupanga niwe nakula kodi kila mwezi.

3. kwa kuwa baada ya kufanya hayo kuna pesa itabaki, basi nitanunua viwanja kadhaa ili vinifae kwa siku za baadae.

yaano hapo ningekuwa mm ningefanya hayo. ila ww sio mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mark x mil 15? Labda second hand lkn sihitaj gar yenye matumiz makubwa ya wese nahitaji gari tu ya kutembelea mjini
 
Yuko sahihi... Fanya vitu unavyovijua na unaweza kusema ulifanya nini kwa hela yako ya mkopo... Mawazo afungue biashara, sio kwa hela ya mkopo huo.. Ndio maana benki, wamemkopesha kama mfanyakazi.. siyo mfanyabiashara.

Kiuhakika, ukitaka kuweka kwenye biashara, atataka kuweka hela nyingi kiasi.. Atajikuta amelipa kodi ya fremu, mshahara wa mfanyakazi, ulinzi, leseni ya biashara, kodi TRA, malighafi za kuanzia biashara.. Kufumba na kufumbua almost nusu ya pesa imekwisha na hakijaeleweka.

Nunua gari lako dogo, uzidi 10 m....malizia nyumba ... Fanya biashara ndogo ya mtaani , kama banda la chipsi au upikaji wa vitafunio.. Utatoka tu na maisha yanaendelea bila presha.
 
Back
Top Bottom