Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
candle zitaenda tofauti uchanganyikiweMkuu loan me 2 million ntarudisha 4 ,million in 30 days...
If interested pm me please
Sasa mkopo wa nini?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Umeongea point sana mkuuNinavyo faham kwa Ulaya mtu akiajiriwa moja ya mambo ya kwanza ni kupewa mkopo wa kununua gari kama hana na cha pili unapewa mkopo wa kukodi nyumba/kulipia nyumba.
Kwa mtazamo wa Waafrika walio wengi, huona gari kama anasa ila gari ni kitendea kazi kinachoweza kumuongezea mtu MUDA na hivyo kumuongeza kipatato.
Angeongelea GARI kama v8, prado nk hapo tungeweza kuona ni anasa
Sijamshauri mtoa mada ila ningependa kuliweka hili la gari vizuri
Kumbe jamaa anatak kucheza forex duhcandle zitaenda tofauti uchanganyikiwe
Kampuni gan nzuri ya kuagiza gar?Asikupangie mtu matumizi ya pesa yako! Utakapokuwa unailipa nani atakusaidia?
For Car, go for IST, kama huna haraka agiza Japan haitazidi 13M mpk mkononi bt huchukua wiki 6-8.
In the mean time unakuwa unamalizia mjengo wako!
Ushauri: Tumia kwa busara, uchumi mgumu na hakikisha unaanza na vipaumbele vyako, bata baadae sana!
Masalia jazilizia kwenye bness zako ikusaidie kupunguza makali ya marejesho!
HahahaHarooo!!! huyo mwarimu ariyekufundisha herufi na matamshi arikuwa anaandika hivyo na kutamka hivyo!!!?
Akili za kuwaza kununua gari aina ya IST au Alex kwa pesa ya mkopo sio akiri za maendeleo wewe utakua mtumishi tu, hujazoea hela mshahara wako ndo umekua dhamana ya mkopo kwa miaka kama mitano hapo naona kama umekaribisha umasikini rasmi katika familia......
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hii inawezekana kwa taasisi ipi ya kifedha?kwa take home ya laki 6 upate mkopo wa 30m marejesho ndani ya miaka4-6. Tujuzane mkuuNi kweli mkuu.
Utakuta hapo mshahara wake laki 6 take home.
Akikatwa mkopo wa benki ibaki laki 3.5.
Halaf hyo hyo alishe familia na nyingine anunue mafuta ya gari.
Wakati huo hapo gari ni mpya then baada ya mwaka gari ikianza kuchoka ataanza kununua spea.
Hivi ndio umaskini hukaribishwa kwenye familia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyakati hizi watu madeni hawalipiMkuu loan me 2 million ntarudisha 4 ,million in 30 days...
If interested pm me please
Hahha kweli kabisa watu TALA tu hawalipNyakati hizi watu madeni hawalipi
Ninacho kitega uchumi tayari.. alaf mkopo kupeleke ktk kitega uchumi what if ukapata loss maana sasa hiv business ngumuSAWA ILA TUMIA MKOPO KWENYE VITEGA UCHUMI ZAIDI, UTANISHUKURU BAADAE
Biashara ina mambo mawili profit and loss what if ukipata loss?na hali yenyew ya uchumi sasahv ilivo mbayaBora we umemweleza ukweli, matumizi ya mkopo utaona faida yake kama utaingiza kwenye biashara na sio loose assets km Magari nk
Siwezi kukukopesha kwasababu huwaga siwezi kudai mtuNikopeshe moja mleta mada