Nimechukua mkopo benki, naomba ushauri katika namna niliyopanga kuutumia

Nimechukua mkopo benki, naomba ushauri katika namna niliyopanga kuutumia

Ninavyo faham kwa Ulaya mtu akiajiriwa moja ya mambo ya kwanza ni kupewa mkopo wa kununua gari kama hana na cha pili unapewa mkopo wa kukodi nyumba/kulipia nyumba.
Kwa mtazamo wa Waafrika walio wengi, huona gari kama anasa ila gari ni kitendea kazi kinachoweza kumuongezea mtu MUDA na hivyo kumuongeza kipatato.
Angeongelea GARI kama v8, prado nk hapo tungeweza kuona ni anasa
Sijamshauri mtoa mada ila ningependa kuliweka hili la gari vizuri
Umeongea point sana mkuu
 
Asikupangie mtu matumizi ya pesa yako! Utakapokuwa unailipa nani atakusaidia?

For Car, go for IST, kama huna haraka agiza Japan haitazidi 13M mpk mkononi bt huchukua wiki 6-8.

In the mean time unakuwa unamalizia mjengo wako!

Ushauri: Tumia kwa busara, uchumi mgumu na hakikisha unaanza na vipaumbele vyako, bata baadae sana!

Masalia jazilizia kwenye bness zako ikusaidie kupunguza makali ya marejesho!
Kampuni gan nzuri ya kuagiza gar?
 
Bora we umemweleza ukweli, matumizi ya mkopo utaona faida yake kama utaingiza kwenye biashara na sio loose assets km Magari nk
Akili za kuwaza kununua gari aina ya IST au Alex kwa pesa ya mkopo sio akiri za maendeleo wewe utakua mtumishi tu, hujazoea hela mshahara wako ndo umekua dhamana ya mkopo kwa miaka kama mitano hapo naona kama umekaribisha umasikini rasmi katika familia......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu.
Utakuta hapo mshahara wake laki 6 take home.
Akikatwa mkopo wa benki ibaki laki 3.5.
Halaf hyo hyo alishe familia na nyingine anunue mafuta ya gari.
Wakati huo hapo gari ni mpya then baada ya mwaka gari ikianza kuchoka ataanza kununua spea.
Hivi ndio umaskini hukaribishwa kwenye familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hii inawezekana kwa taasisi ipi ya kifedha?kwa take home ya laki 6 upate mkopo wa 30m marejesho ndani ya miaka4-6. Tujuzane mkuu
 
Kuna watu ni mitambo unajua, yani ushakua mkopo alafu unataka ushauri tena!!!!
ongeza mke wa pili
 
Huyu atakua mwanajeshi, maana wanajeshi na mapolisi kwa mikopo nawanyooshea mikono
 
SAWA ILA TUMIA MKOPO KWENYE VITEGA UCHUMI ZAIDI, UTANISHUKURU BAADAE
Ninacho kitega uchumi tayari.. alaf mkopo kupeleke ktk kitega uchumi what if ukapata loss maana sasa hiv business ngumu
 
Bora we umemweleza ukweli, matumizi ya mkopo utaona faida yake kama utaingiza kwenye biashara na sio loose assets km Magari nk
Biashara ina mambo mawili profit and loss what if ukipata loss?na hali yenyew ya uchumi sasahv ilivo mbaya
 
Chukua Premio model ya kati....Milion 12 japan....yenye CC 1450 na sio 1780....itakufaa...ina nafas...tofaut na IST.....then malizia mjengo baba...usifungue biashara kama hutosimamia wewe au mke wako...achana na ndugu
 
Back
Top Bottom