Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Be forward is the best kwa Tanzania; wengine ni Trade Car view, SBT nkKampuni gan nzuri ya kuagiza gar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Be forward is the best kwa Tanzania; wengine ni Trade Car view, SBT nkKampuni gan nzuri ya kuagiza gar?
Swali zuri sana,biashara sio kitu chenye guarantee ya asilimia mia.Biashara ina mambo mawili profit and loss what if ukipata loss?na hali yenyew ya uchumi sasahv ilivo mbaya
Usifananishe ulaya na bongo mkuu.Ninavyo faham kwa Ulaya mtu akiajiriwa moja ya mambo ya kwanza ni kupewa mkopo wa kununua gari kama hana na cha pili unapewa mkopo wa kukodi nyumba/kulipia nyumba.
Kwa mtazamo wa Waafrika walio wengi, huona gari kama anasa ila gari ni kitendea kazi kinachoweza kumuongezea mtu MUDA na hivyo kumuongeza kipatato.
Angeongelea GARI kama v8, prado nk hapo tungeweza kuona ni anasa
Sijamshauri mtoa mada ila ningependa kuliweka hili la gari vizuri
Ina maana umechukua mkopo ila hujui vizuri ufanye nini na huo mkopo?Habari zenu
Nimekopa shilingi milion 30 bank CRDB. Nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata. Je, mpango wangu unafaa?
Naomba ushauri wadau
NB: Nimechagua hizo gari kwa ajili ya matumizi madogo ya "wese"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kina msemo; Kama hudaiwi huna akili.Sasa mkopo wa nini?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Alipoona kabanwa kwa idea yake akajiongeza na kusema ooh nina vitega uchumi na huku anasema mshahara huwa siugusi kabisaKina msemo; Kama hudaiwi huna akili.
Jamaa anaogopa kuitwa kilaza.
We kijana nibtajiri mtarajiwaAnzisha kiwanda kidogo, revenue itakayozalishwa malizia nyumba, gari usinunue labda baadae pick up ya kusaidia kiwanda na shughuli zingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitega uchumi cha kunipa mil 30 cash sina. Mimi similiki viwanda .hio hela ya mkupuo utaipata kirahis? Ungeuliza kitega uchum ganAlipoona kabanwa kwa idea yake akajiongeza na kusema ooh nina vitega uchumi na huku anasema mshahara huwa siugusi kabisa
Sasa najiuliza kwanini ukope wakati mshahara haugusi na vitega uchumi vina generate cash
Well kila mtu ana maamuzi yake lakini anaeleta mawazo yake humu lazima apate comments za kila aina
Ningeomba ushaur humu wengne wangesem nichukue wengine wangesema no.. sasa nimeamua kuchukua na hayo ndio mahitaji yangu nimeomba ushaur utakaonipendeza nitaufataUlipaswa kuomba ushauri kabla hujachukua mkopo, sasa umeshachukua ndio unaomba ushauri, wa nini wakati ulishajipanga kitu cha kufahya?
Nahitaji usafiri kwanzawekeza kwenye biashara.. kama unaona huna akili ya biashara kanunue viwanja vya kutosha kwa maisha bora ya baadae
Nimekuelewa vizuriKitega uchumi cha kunipa mil 30 cash sina. Mimi similiki viwanda .hio hela ya mkupuo utaipata kirahis? Ungeuliza kitega uchum gan
ONDOA NEGATIVE ASSUMPTIONS NA ANGALIA BIASHARA GANI INAENDA HATA WAKATI HUU MGUMUNinacho kitega uchumi tayari.. alaf mkopo kupeleke ktk kitega uchumi what if ukapata loss maana sasa hiv business ngumu
Yard gani hiyo mkuu?Bwana mdogo,..mil30 ni hela ndoogo sana ukiishika amini nakwambia,na sikushaur ufanyie biashara hyo hela sabab kwa ulivyo ulivyo tuu nmeona hutoweza,tuanzie hapo kwanza,so hako ka 30 kama ulivosema unataka gar na kumalizia nyumba na hela ya bata,..naona umejitoa muhanga,first of all ushafel so ngoja nikushaur kutoka kwenye hyo failure,..
Subir had december kuna yard nying tu hua wana ofa,mfano pale namanga ile yard ya wa pakistan,acha mbwebwe za IST ziko juu sana mpya,na usinunue gar mkonon,utakuja juta,..nenda pale yard tafta ractis or fun cargo or gar yoyote utakayokuta ,hua ofa znafika had 7.5m..kwa sis wateja wa kudum hua tunapigiwa sim kabsa,kuna gar hii na hii zna ofa..usinunue zaid gar zaid ya m9..then hela inayobak malizia tuu nyumba hyo,namaanisha hela yoteee,usiweke hela ya bata sabab bata hyo na wenge la hela,utapata majanga,ajali,kuibiwa,etc utarud nyuma utatumia hela zilizobak kujiuguza,so hela yote malizia ujenz,tenga 15mil,tafta fund ,tumia budget ndogo uwezavyo,..vifaa vyote nenda dukan usitume mtu..mil6 iliyobak weka bank ipige fixed,huku ukitafta kamrad kakukuingiza sh mbil tatu
Nmeshaur kutokana na experience
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo vichwa vizito sana kuelewa,haya ndio madhara ya kula ugali hovyo hovyoUNGEOMBA USHAURI KABLA YA KWENDA KUCHUKUA MKOPO NA SIO UCHUKUE KWANZA, UNGEOMBA USHAURI KUHUSU MATUMIZI NA SI UOMBE USHAURI BAADA YA KU AINISHA MATUMIZI YAKO, SASA UNATAKA USHAURI UPI TENA NA UMESHAPANGA KILA KITU. TUKIKUSHAURI UTAKUBALIANA NA USHAURI WETU? HAYA TUNAKUSHAURI RUDISHA HIZO PESA ZOTE CRDB BENKI WAELEZE SIHITAJI TENA MKOPO WENU, BADALA YAKE WEKEZA KIDOGO KIDOGO KWENYE KIPATO CHAKO ILI UWEZE KUTIMIZA MAHITITAJI MENGINE, AU ACHANA NA MIPANGO YOTE KUHUSU MATUMIZI YA HIZO PESA TUTAKUPANGIA SISI LA KUFANYA. UNASEMAJE MKUU.
Mkuu bdo sina familyMkuu hela ya mkopo iheshimu sana usije ukaweka rehani familia yako, Ohoo!
Nisaidie aina za biashara zinazoenda wakat huuONDOA NEGATIVE ASSUMPTIONS NA ANGALIA BIASHARA GANI INAENDA HATA WAKATI HUU MGUMU