Nimechukua mkopo benki, naomba ushauri katika namna niliyopanga kuutumia

Nimechukua mkopo benki, naomba ushauri katika namna niliyopanga kuutumia

Ist
Ist ya 15mil, 14mil, na 12mil ya nini wakati hapa hapa bongo zipo Alphard au Toyota hiace custom au Nissan caravan za hizo bei tena 15mil zimenyooka na niused from Japan, zimetembea mileage kadhaa.
Mi nasemaga hizo ist, vitz, raum, na mfanano huo sio gari za kigenteleman Bora ununue Pickup Toyota Hilux ndogo new model.

Kila mtu ana test, interest na vitu anavyopenda, ukiyajua hayo utapunguza usumbFu na magomvi na watu yasiyo na lazina.
 
Kitu chako chochote kile ambacho kinakugharimu basi kitu hicho ni liability (dhima) na ambacho kinakuletea mkwanja basi hicho ni asset (mali).

Kama nyumba na gari lako zina kugharimu pesa, financially speaking tutaziita ni liabilities. Lakini kama una nyumba nyingine zina wapangaji na unakusanya kodi tutaziita nyumba hizi assets, hali kadhalika kama una magari mengine yanayokuletea kipato, magari hayo pia ni assets.

Chacharika ili uwe na assets (mali) nyingi kuliko liabilities (dhima). Hapo utakuwa umetoka kwa kiwango cha lami.
Mkuu na je kwa mfano Kama Nina nyumba yangu ambayo nakaa mwenyewe.
Na hyo nyumba hainiingizii pesa na wala hainipotezei pesa yaani iko neutral tu.
Nyumba hii tutaiita asset au liability?
 
Ist
Ist ya 15mil, 14mil, na 12mil ya nini wakati hapa hapa bongo zipo Alphard au Toyota hiace custom au Nissan caravan za hizo bei tena 15mil zimenyooka na niused from Japan, zimetembea mileage kadhaa.
Mi nasemaga hizo ist, vitz, raum, na mfanano huo sio gari za kigenteleman Bora ununue Pickup Toyota Hilux ndogo new model.
Aisee ww jamaa una akili sana.
Yaani mm mwenyewe huwa nawaza hvyo yaani na ndio maana nachelewa kununua gari ingawa milioni kumi kumi huwa nakuwa nazo.
Vigari vya jamii ya IST,Spacio,Raum na vigari vingine Kama hvyo vinawafaa masistaduu wa mjini.
 
Tumia yote 30mil kununua gari SUV mambo ya wese usiwaze gari sasa zinatumua umeme zaidi, isitoshe jioni utakula vichwa za changia mafuta buku 2 kwa kichwa.
Mjengo achana nao, utajiseti huo baadae usiuache ushauri huu wala usiskilize ushauri mwingine, sasa ziba masikio
 
Mkopo huu si wa muda wa chini ya miaka 4, riba ni 19% kwa mwaka. Cumulatively atalipa kama sh 63mil hivi.

Gari atakuwa kanunua kwa tsh 30mil. Na kibanda kakianzisha kwa tsh 33mil.

HUU NI UZWAZWA.

Kopa kwa maendeleo ya biashara, sio kununulia liabilities.

Sawa Mwalimu?
Habari zenu

Nimekopa shilingi milion 30 bank CRDB. Nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata. Je, mpango wangu unafaa?

Naomba ushauri wadau

NB: Nimechagua hizo gari kwa ajili ya matumizi madogo ya "wese"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee ww jamaa una akili sana.
Yaani mm mwenyewe huwa nawaza hvyo yaani na ndio maana nachelewa kununua gari ingawa milioni kumi kumi huwa nakuwa nazo.
Vigari vya jamii ya IST,Spacio,Raum na vigari vingine Kama hvyo vinawafaa masistaduu wa mjini.
Aisee akili yetu moja mi nikitaka kununua gari nina nunua ambazo ni multipurpose unayoweza weka hata mkaa au ndizi nikienda uchaggani kwetu 😂😅 na hapo hapo naweza toka nayo.
 
Yani huyu mleta mada sijui atakuwa ndio yule ninae mfahamu mimi?

Maana kuna jamaa ni dereva kwenye ubalozi wa nchi flani, yeye kachukua mkopo wa mlion 30 kaenda kundelezea nyumba yake alafu nyingine kanunua gari subaru foresta, sasa aliniambia nyumba ameishia kupaua tu na hela imekata.
 
Habari zenu

Nimekopa shilingi milion 30 bank CRDB. Nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata. Je, mpango wangu unafaa?

Naomba ushauri wadau

NB: Nimechagua hizo gari kwa ajili ya matumizi madogo ya "wese"

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah

......... Ibaki pesa kidogo ya kula Bata [emoji22][emoji56][emoji22][emoji56]
 
Habari zenu

Nimekopa shilingi milion 30 bank CRDB. Nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata. Je, mpango wangu unafaa?

Naomba ushauri wadau

NB: Nimechagua hizo gari kwa ajili ya matumizi madogo ya "wese"

Sent using Jamii Forums mobile app
...kwa hiyo Mkuu uliomba huo mkopo bila business plan yoyote ya kuzifanyia biashara hizo hela?
Marejesho ya mkopo utatoa wapi? Kwenye Mshahara?.. [emoji848][emoji848]
 
Yani huyu mleta mada sijui atakuwa ndio yule ninae mfahamu mimi?

Maana kuna jamaa ni dereva kwenye ubalozi wa nchi flani, yeye kachukua mkopo wa mlion 30 kaenda kundelezea nyumba yake alafu nyingine kanunua gari subaru foresta, sasa aliniambia nyumba ameishia kupaua tu na hela imekata.
Hpna sio mimi
 
Mkopo huu si wa muda wa chini ya miaka 4, riba ni 19% kwa mwaka. Cumulatively atalipa kama sh 63mil hivi.

Gari atakuwa kanunua kwa tsh 30mil. Na kibanda kakianzisha kwa tsh 33mil.

HUU NI UZWAZWA.

Kopa kwa maendeleo ya biashara, sio kununulia liabilities.

Sawa Mwalimu?
Duh yan kama bank wangenipigia mahesabu kam hyo yako ningeondoka bila kuaga. No research no right to speak
 
Aisee ww jamaa una akili sana.
Yaani mm mwenyewe huwa nawaza hvyo yaani na ndio maana nachelewa kununua gari ingawa milioni kumi kumi huwa nakuwa nazo.
Vigari vya jamii ya IST,Spacio,Raum na vigari vingine Kama hvyo vinawafaa masistaduu wa mjini.
Hayo ni mawazo yako binafsi
 
Nunua kagari kalikozeeka (usipende ufahari sasa) bei isizidi mil. saba. Fungua vitega uchumi vingine viwili visizidi milioni 10 kila moja ubaki na milioni kwa dharura usizitumie kabisa. Hela za kumalizia nyumba zitoke kwenye vitega uchumi vipya.
 
Back
Top Bottom