De Rama Msirikale
Member
- Nov 30, 2020
- 31
- 15
Ushauri tafadhali, nimepata udahili wa chuo kikuu fulani hapa nchini.
Sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kuhairisha kuripoti chuo hicho.
Nauliza endapo sitasitisha (cancel) hii application mwakani sitakuwa na vigezo vya kuomba tena?
Kama mwombaji mpya kwa vyuo vyote nchini kulingana na ufaulu wangu.
Sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kuhairisha kuripoti chuo hicho.
Nauliza endapo sitasitisha (cancel) hii application mwakani sitakuwa na vigezo vya kuomba tena?
Kama mwombaji mpya kwa vyuo vyote nchini kulingana na ufaulu wangu.