Komaa nae tu hakuna namnaHusika na mada hapo juu,
Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari.
Mungu sio John nikapata tenda kwenye kampuni fulani hivi ya kubeba makaa ya mawe ila sikutimiza vigezo maana hiyo kampuni ilikuwa ikiitaji mtu mwenye lori kuanzia kumi basi akatokea tajiri mmoja akaniambia tuingie share kwa sharti yeye awepo muhusika mkuu.
Sikuwa na pingamizi nikamkubalia kwa maana yeye alikuwa ana lori nyingi basi zikaanza kazi mwezi ukapita nikapata gawio langu ila tokea nimepata hiyo pesa sijapata tena na lori zangu zilifanyiwa kazi ndani ya miezi zaidi ya tano mpaka nilipoamua kuzisitisha na kila nikidai malipo yangu natishiwa nitawekwa pabaya na nikashitaki popote mpaka nimekata tamaa na kujilaumu kwanini nimenunua hizi gari hata bora hela yangu ningefanya starehe.
Wakuu msaada wa mawazo yenu hatua gani nichukua.
Asanteni
Mkuu we chukua lori zako, ingiza sehemu nyingine kashakuzunguka huyoHusika na mada hapo juu,
Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari.
Mungu sio John nikapata tenda kwenye kampuni fulani hivi ya kubeba makaa ya mawe ila sikutimiza vigezo maana hiyo kampuni ilikuwa ikiitaji mtu mwenye lori kuanzia kumi basi akatokea tajiri mmoja akaniambia tuingie share kwa sharti yeye awepo muhusika mkuu.
Sikuwa na pingamizi nikamkubalia kwa maana yeye alikuwa ana lori nyingi basi zikaanza kazi mwezi ukapita nikapata gawio langu ila tokea nimepata hiyo pesa sijapata tena na lori zangu zilifanyiwa kazi ndani ya miezi zaidi ya tano mpaka nilipoamua kuzisitisha na kila nikidai malipo yangu natishiwa nitawekwa pabaya na nikashitaki popote mpaka nimekata tamaa na kujilaumu kwanini nimenunua hizi gari hata bora hela yangu ningefanya starehe.
Wakuu msaada wa mawazo yenu hatua gani nichukua.
Asanteni
Rais wa wanyonge au jambazi la wanyonge alikuwaPole sana,nakusikitikia sababu rais wa wanyonge nae kashakufa...hapo mkuu ni vita tu, tafuta boss mwingine wapambanishe ww ukae kati tu.
[emoji16][emoji16]Nitafute mkuu nikupeleke kwa mzee Mmoja wa kuitwa makombo ya gari, historia yake huyo mzee alipinduka na gari mara kumi na zote hajawahi hata kuchunika, yani huyo tajiri tunamtoa jipu la ulimi mchana kweupee na atakuja mwenyewe kuomba msamaha
Hautapata ila utakua umetoa bold statement kwa mwingine utakayefanya naye biashara
Mliandikiana mkataba? Jibu hilo swali ndio au hapana.ngongoti2000 kama nilivyoandika kwenye mada husika nilikuwa mchanga kwenye hizi sijajua wap sijaeleweka
Mikataba au makubaliano mnafanya kiholela, bila wanasheria?Husika na mada hapo juu,
Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari.
Mungu sio John nikapata tenda kwenye kampuni fulani hivi ya kubeba makaa ya mawe ila sikutimiza vigezo maana hiyo kampuni ilikuwa ikiitaji mtu mwenye lori kuanzia kumi basi akatokea tajiri mmoja akaniambia tuingie share kwa sharti yeye awepo muhusika mkuu.
Sikuwa na pingamizi nikamkubalia kwa maana yeye alikuwa ana lori nyingi basi zikaanza kazi mwezi ukapita nikapata gawio langu ila tokea nimepata hiyo pesa sijapata tena na lori zangu zilifanyiwa kazi ndani ya miezi zaidi ya tano mpaka nilipoamua kuzisitisha na kila nikidai malipo yangu natishiwa nitawekwa pabaya na nikashitaki popote mpaka nimekata tamaa na kujilaumu kwanini nimenunua hizi gari hata bora hela yangu ningefanya starehe.
Wakuu msaada wa mawazo yenu hatua gani nichukua.
Asanteni