Bexb
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 715
- 1,619
Mzee yaani miezi minne yote unapiga kazi hulipwi wakati hapa tu nilipo mwezi uliopita nilisaka gari nyingi sana kwa ajili ya tenda ya kupeleka mzigo kiwandani nikazipata kwa mbinde, kumbe kuna watu mna gari za uhakika zinasota.
Kama bado zimepaki naomba unishtue tuone tunafanyaje. Miezi MINNE HULIPWI NA BADO UNARUHUSU GARI ZIFANYE KAZI? Huo ni uzembe.
WhatsApp 0755963775
Kama bado zimepaki naomba unishtue tuone tunafanyaje. Miezi MINNE HULIPWI NA BADO UNARUHUSU GARI ZIFANYE KAZI? Huo ni uzembe.
WhatsApp 0755963775