Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wanakuwa wakali kwa sababu wameathirika na utapeli wa mtandaoni.Dah! kweli Dunia hadaa ulimwengu shujaa. My dear usihadaike, FB imejaa matapeli, mie nliwahi kuchati na mnigeria mmoja, luckily nlimdanganya naishi mwanza na yeye akanambia yuko Dar na ansoma Muhimbili, akademand kuja kunitembelea MZA nikamwambia kuwa muda mwingi huwa sipo coz nafanya kazi za kuzunguka. akanambia yeye anapenda akimaliza shule kama atapata mtu ataoa mtz, bahati nzuri mie sikuwa "into him" so nkampiga chenga mno. Juzi nkaangalia profile yake baada ya kutokumsoma muda mrefu, nkagundua kuwa ni footballer wala hana cha kusoma wala nn. Nilipomuuliza akanambia "Please Let me <br />
<br />
<br />
explain".<br />
<br />
<br />
Thanks Bombu.....I will be ......Ila moyo ukishaangukia ni vigumu kuuokota but I will try<br />
Huyoo footballer labda hakuta ujue kazi yake ndo maana akakudanganya.....<br />
<br />
I like hiyo meseji yako kapo chini....SOMETIMES NONE OF THE ANSERS GET IT JUST RIGHT<br />
<br />
<font color="#800080"><span style="font-family: arial black"> Matapeli wamekua wengi nowadays... be careful.... I met ths guy kwa facebook, Mtanzania, na anatoka maeneo ya kwetu... so kwa kuona surname yangu akujua he is my hommie... kwa alianza kunisalimia kwa lugha... added him as friend. Ndani ya wiki mbili akasema kwao kuna matatizo hivyo nimsaidie laki 5, atamtuma ndugu yake aje achukue... i was suprised... nikahisi the guy must be tapeli... nikaanza uchunguzi wazi...<br />
Unaambiwa siku hizi when u meet a guy or lady... Google him/her.... nikafanya hivyo...<br />
Nikabaini yafuatayo:<br />
</span></font><ol class="decimal"><li><b><font color="#ff0000">Ni mwanafunzi wa Masters...tena mickeymouse programme... na siyo PHD kama alivyodai...</font></b></li><li><b><font color="#ff0000">Siyo single kama alivyodai, he is married man alioa mwaka Disemba 2001 huko Marekani,</font></b></li><li><b><font color="#ff0000">Umri... Alisema ana 40 badala ya 44...</font></b></li></ol><b><font color="#ff0000">At this point Flovans... i cant advise you eti umwache... matters of the heart are complex... unampa mtu advise, ambayo wewe mwenyewe ikikotokea huwezi kuapply... so do the following:<br />
</font></b><ol class="decimal"><li><b><font color="#0000ff">Google him....</font></b></li><li><b><font color="#0000ff">Jua ndugu zake</font></b></li><li><b><font color="#0000ff">Hakikisha unamwona kwa web cam... kujua ni yule uliyempenda kwa facebook</font></b></li><li><b><font color="#0000ff">We kwenda kuna advantage ya kumjua kwa kiasi, at least u know anaishi maisha gani...</font></b></li></ol><b><font color="#0000ff"><br />
You are real a </font></b> <a href="https://www.jamiiforums.com/members/senior-counsel.html" target="_blank"><b>Senior Counsel</b></a><br />
Thanks kwa ushauri mzuri.....ntaufanyia kazi<br />
<br />
Guys kuendelea kunipondea hakunisaidii....nilichoomba ni ushauri na c kingine........atakaenijaji visivyo ni maamzi yake na siwezi kupinga.....lakini waza ingekuwa ni wewe.....nimeamua kuomba ushauri kupata mawazo yenu but mnaendelea kunikandamiza tu..................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................
<br />Kwa kweli tumlaumu huyo bf wake wa ki tz kwa makosa<br />
mpaka dada anataka kuangukia kwa mghana.......
Kila mtu hukutana na mwenza wake katika mazingira tofauti....mwenzenu nimempenda kija wa Kighana ambaye nimekutana nae facebook.Mara nyingi huwasiliana kwa email na simu,nimwenye maongezi ya upole,tumebadirishana historia za mapenzi yetu na kuaidiana kutembeleana soon...anataka niachane na mpenzi wangu wa kitanzania coz hapendi kushea mpenzi.Nimempenda sana ila cjui kama ni kosa kupenda kwa aina hii...ushauri wenu wana JF![]()
Dah! kweli Dunia hadaa ulimwengu shujaa. My dear usihadaike, FB imejaa matapeli, mie nliwahi kuchati na mnigeria mmoja, luckily nlimdanganya naishi mwanza na yeye akanambia yuko Dar na ansoma Muhimbili, akademand kuja kunitembelea MZA nikamwambia kuwa muda mwingi huwa sipo coz nafanya kazi za kuzunguka. akanambia yeye anapenda akimaliza shule kama atapata mtu ataoa mtz, bahati nzuri mie sikuwa "into him" so nkampiga chenga mno. Juzi nkaangalia profile yake baada ya kutokumsoma muda mrefu, nkagundua kuwa ni footballer wala hana cha kusoma wala nn. Nilipomuuliza akanambia "Please Let me explain".
Thanks Bombu.....I will be ......Ila moyo ukishaangukia ni vigumu kuuokota but I will try
Huyoo footballer labda hakuta ujue kazi yake ndo maana akakudanganya.....
I like hiyo meseji yako kapo chini....SOMETIMES NONE OF THE ANSERS GET IT JUST RIGHT
......................................................................................................................................................................................................................................................................................................................
Cha muhimu ni kuwa uwe makini, na utambue hawa ndugu zetu wana maisha ya mama ndo atafute tofauti na huku kwetu utakuta mama una kipato lakini baba ndo kila ki2. So usije ukakimbia mbio ndefu na bado usiwe mshindi wa mbio hizo. Trade with care, coz todays world is the world of benefit
Kila mtu hukutana na mwenza wake katika mazingira tofauti....mwenzenu nimempenda kija wa Kighana ambaye nimekutana nae facebook.Mara nyingi huwasiliana kwa email na simu,nimwenye maongezi ya upole,tumebadirishana historia za mapenzi yetu na kuaidiana kutembeleana soon...anataka niachane na mpenzi wangu wa kitanzania coz hapendi kushea mpenzi.Nimempenda sana ila cjui kama ni kosa kupenda kwa aina hii...ushauri wenu wana JF[/QUOTE![]()
Avatar yako inajieleza kua wewe niwanamna gani.......Think twice.
Kila mtu hukutana na mwenza wake katika mazingira tofauti....mwenzenu nimempenda kija wa Kighana ambaye nimekutana nae facebook.Mara nyingi huwasiliana kwa email na simu,nimwenye maongezi ya upole,tumebadirishana historia za mapenzi yetu na kuaidiana kutembeleana soon...anataka niachane na mpenzi wangu wa kitanzania coz hapendi kushea mpenzi.Nimempenda sana ila cjui kama ni kosa kupenda kwa aina hii...ushauri wenu wana JF![]()
mestod niombe radhi.....angalia location yangu hapo juu.imagination ya british airways to ghana. Ukifika kule mnaenda kwa mtogole ya kule. Shauri yako!
<br />Thanks The boss but hata angesema anataka kushare bado nicngeweza kuwa two in one....Kinachoniumiza ni jinsi gani ntaachana na huyu mtz
heheee sipati picha eti unaolewa kwa mbwembwe halafu unapelekwa sudan kusini /zimbabwe mbona utakumbuka kijijini kwenu ambako hata babako hakuthubutu kukuacha kwa bibi yako !!!!! masaki si kila mtu amewahi kuvuka mipaka kaka, kwa wacheche tuliiobahatika hilo tunaweza kujua thamani ya tanzania angalau si kwa yote lakini tanzania pana maisha mazuri ukituliza akiliNi lini dada zetu wa Kibongo mtaacha yatuatayo?;
1. Kushobokea watu wa nje ya nchi. Yaani wadada wa Kibongo akishasikia mwanaume ana utaifa wa nchi nyingine hata iwe Zimababwe kwenye njaa, au Southern Sudan walikopata uhuru juzi, basi anachanganyikiwa kabisa.
2. Kuchukulia hisia za wapenzi wenu ''for granted''!. Yaani haingii akilini unakutana na mtu kwenye facebook anakuambia achana na mpenzi wako na wewe unakubali. Hizo ni akili au matope?
Get a life and go back to your senses.
<br />Nakushahuri SANA usiachane na mpenzi wako, usiendi Ghana kumuona. Hakikisha yeye anakuja kukuona ulipo sababu ni familiar groung. Akae wiki kadhaa, umsome. Kama unaweza muombe kukutana na ndugu zake kadha online. Kama alikwambia alisoma shule fulani ao University fulani tafuta jina lake kwa old students. kama anafanya kazi jaribu kucheki ni campuni gani. kwenye face book ingia kwa relations zake uwaone wamekaaje.<br />
Be VERY cautious.
mestod niombe radhi.....angalia location yangu hapo juu.