Punguza ushamba mkuu ooopsModels za magari zinatofautiana bei wajinga nyie. Unaweza kuwa na range rover sport ya mwaka 2005 na mwingine akawa na range rover sport ya mwaka 2023 , zote ni range rover sport lakini je zinalingana thamani? Kenge nyie walimu mnadhani subaru nayozungumzia apa ni izo za kwenu za zamani.ualimu ni ujinga.
RR mbona mbali hivyo Mkuu !!!Mkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
Huu ni ushamba.Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Waswahili walivyosema "Masikini akipata, matako hulia mbwata" walikuwa washajua kutakuwa na watu hawa.Watu hawataki ujinga humu,mi mwenyewe sio mwalimu ila nimemmind kishenzy π€¦
Acha unyonge Tichaa, ila tukiwakuta kwenye 18 zenu mnakuaga wanokoo stress za home kumshushia mtu stick kama punda au kushupalia atimuliwe ππMimi ni mwalimu, Sina gari yoyote hata pikipiki Sina.. Nashukuru kijana wangu
Imagine zama hizi za kunyanyasa na kusimanga watu kisa gari??yake yamelia mbwata sana aiseeeeWaswahili walivyosema "Masikini akipata, matako hulia mbwata" walikuwa washajua kutakuwa na watu hawa.
Kulia mbwata kwenyewe ndio huku sasa.
Gari chombo cha usafiri kashakifanya chombo cha kunyanyasa umma?
Kama kila mtu atakataa ualimu watoto watoto wenu watafundishwa na nani?anasema kweli ualimu sio kazi, sema tu uwasilishaji wake ndio changamoto
halafu subaru yenyewe ni used, tena utakuta ni ya mwaka 2008 hukooooooo.Mkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
Huwezi kujua aliyopitia kupata hilo gari, inawezekana ni mtu wa kwanza kwenye ukoo wao kuwa na gari bado analimbuka.halafu subaru yenyewe ni used, tena utakuta ni ya mwaka 2008 hukooooooo.
Mpumbavu flani!Mkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?